Google uone inauzwa aje Kwa dollar, halafu badili Kwa pesa za Tanzania. Si chini ya milioni 2Wakuu mwezi uliopita rafiki yangu alikuja kunisabahi kutoka Marekani - Washington, mbali na vitu vingi ameniletea,ameniletea pia zawadi ya IPhone 13 Pro Max. Kiukweli, mimi sio muumini wa divice za Apple. Nilitaka kujua yafuatayo kutoka kwa wajuzi
Nikiamua kuiuza inaweza pata wanunuzi?
Naweza pata kiasi gani nikiiuza?
Ikiwa kuna yoyote anahitaji aniambie.
Location: Dar Es Salaam.
View attachment 2279122
Niunganishe nae mkuu nimepelekee hii IPHONE 13 PRO MAX (COPY) FROM USAnina jamaa angu pale makumbusho ananunua na kuuza iphone used... naweza kukuunganisha nae uskie atainunua kwa bei ganView attachment 2279153


Bei ya dukani si chini ya milioni 3Sawa mkuu, ngoja nipate ujuzi kwanza nisije nikakupa kwa bei ya kutupa sana.
Yaani acha tu Mkuu,kuna watu humu wanaanza kunitukana hadi MATUSI sasa sijui wapi nimewakwaza, anyway God knows.Mwandish wa huu uzi nakushauri akili za kuambiwa changanya na ....la sivyo hutaiuza hiyo simu maan humu kuna wengne wanakatisha watu tamaa atar....
Nakubaliana na wewe..Sijui kwanini watu wanaoishi ulaya/marekani huwa Ni wakarimu sana
no yake hii +255 738 680 955 ukimtumia tu picha ataleta mtazamo wake kama ni copy..kama wengine walivyogundua kupitia tu picha 🤣🤣🤣Niunganishe nae mkuu nimepelekee hii IPHONE 13 PRO MAX (COPY) FROM USA![]()
iPhone hizo nzuri ataikiibiwa mwizi hawezi kuitumia na unaweza ukamfata mtu mpaka alipo ificha au alipokuwa nayoNashukuru Mkuu.
Sawa Mkuu ngoja tujaribu kuuza hili li COPY LA WASHINGTON DC pengine tutapata hiyo laki niliyoambiwa hapo juuno yake hii +255 738 680 955 ukimtumia tu picha ataleta mtazamo wake kama ni copy..kama wengine walivyogundua kupitia tu picha![]()
Then Bonyeza *102# utapata Bei mkuuAsante sana ila situmii Instagram mkuu.
Mazingira huwa yanawabadilisha. Upambanaji plus upatikanaji wa fursa za kujiingizia kipato kwa urahisi inawafanya kuondokana na roho za kibongo za kwann.Sijui kwanini watu wanaoishi ulaya/marekani huwa Ni wakarimu sana