Nimeletewa IPhone 13 Pro max na rafiki yangu

Nimeletewa IPhone 13 Pro max na rafiki yangu

Iphone nyingi og huwa zinakuwa na logo yao kwenye cover la betri, hii naona haina ,isije ikawa I13 pro max za kichina?
 
Mbongo=hakuna iphone fake.

mchina=embu subiri nije
JamiiForums1429201095.jpg
 
Habari za muda huu naimani ni mzima wa afya ngoja kwanza twende mdogo mdogo kununua simu fake siyo kwamba kila mtu anapa ga hata wazazi wetu huwa wanatuletea simu fake bila wao kujua maana simu zinaitaji elimu sana. Ok pengine labla mambo yamebadilika ila kwamimi hapa navyojua iphone hii uliyopost mkuu ni 98% copy au ni fake kabisa kwa hizi sababu zifuatazo
1 Camera uliyopost wewe hapo kama kuna mtu amezoom vizuri atagundua camera ipo moja tu nyingine zote zipo empty iphone original lazima ziwe na camera kwenye frame zake zote
2 Camera uliyopost yenyewe ipo flat kidogo ukilunganisha na iphone original zinatakiwa zije juu kidogo naimani nimeweka na ushaidi wa picha kama nitakuwa nimekosea

3 iphone yako huku chini corner za iphone zinakuwa kama nusu duara hivi ila kwa macho yangu nimeona hiyo siyo nusu duara ila kama nitakuwa nimekosea utaniambia

4 Mkuu hii naona kama imzidi naona frame yake ni kubwa sana kuliko kawaida

Ila haya ni macho yangu tu maana simu sipo nayo chakufanya kwanza

Chukua imei number check kwenye imei info

Mpaka sasa iphone 13 pro max zote bado zipo kwenye warranty

Na ukitaka kuuza hiyo thamani yake ni 2.3M hadi 2.4M
Kwakuwa ina crecks utauza kwa 2.1M kuja juu mpaka 2.2M
Karibu sana
 

Attachments

  • IMG_2875.jpg
    IMG_2875.jpg
    17.8 KB · Views: 31
  • IMG_2874.jpg
    IMG_2874.jpg
    21.6 KB · Views: 30
  • IMG_2873.jpg
    IMG_2873.jpg
    32.5 KB · Views: 33
  • IMG_2872.jpg
    IMG_2872.jpg
    23.8 KB · Views: 35
  • IMG_2871.jpg
    IMG_2871.jpg
    21.3 KB · Views: 33
  • 8378a5146436290f065a76794d7819cb.jpg
    8378a5146436290f065a76794d7819cb.jpg
    17.4 KB · Views: 35
  • 2f2dcd004b8f6fe7c91de5b7192d014a.jpg
    2f2dcd004b8f6fe7c91de5b7192d014a.jpg
    18.6 KB · Views: 34
  • a2ae2a0f137f87e79ceb693ed973ad5d.jpg
    a2ae2a0f137f87e79ceb693ed973ad5d.jpg
    38.4 KB · Views: 32
  • e83422cebc195100f25a2c6ae63dd7bd.jpg
    e83422cebc195100f25a2c6ae63dd7bd.jpg
    43.4 KB · Views: 31
Nakubali
Habari za muda huu naimani ni mzima wa afya ngoja kwanza twende mdogo mdogo kununua simu fake siyo kwamba kila mtu anapa ga hata wazazi wetu huwa wanatuletea simu fake bila wao kujua maana simu zinaitaji elimu sana. Ok pengine labla mambo yamebadilika ila kwamimi hapa navyojua iphone hii uliyopost mkuu ni 98% copy au ni fake kabisa kwa hizi sababu zifuatazo
1 Camera uliyopost wewe hapo kama kuna mtu amezoom vizuri atagundua camera ipo moja tu nyingine zote zipo empty iphone original lazima ziwe na camera kwenye frame zake zote
2 Camera uliyopost yenyewe ipo flat kidogo ukilunganisha na iphone original zinatakiwa zije juu kidogo naimani nimeweka na ushaidi wa picha kama nitakuwa nimekosea

3 iphone yako huku chini corner za iphone zinakuwa kama nusu duara hivi ila kwa macho yangu nimeona hiyo siyo nusu duara ila kama nitakuwa nimekosea utaniambia

4 Mkuu hii naona kama imzidi naona frame yake ni kubwa sana kuliko kawaida

Ila haya ni macho yangu tu maana simu sipo nayo chakufanya kwanza

Chukua imei number check kwenye imei info

Mpaka sasa iphone 13 pro max zote bado zipo kwenye warranty

Na ukitaka kuuza hiyo thamani yake ni 2.3M hadi 2.4M
Kwakuwa ina crecks utauza kwa 2.1M kuja juu mpaka 2.2M
Karibu sana
 
Back
Top Bottom