Nimekwisha na UKIMWI

Nimekwisha na UKIMWI

LUBEDE

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
4,322
Reaction score
6,694
Naandika huku hali yangu ya akili ikiwa mbaya sana, mchumba wangu niliyeishi nae kwa miaka mi 3 amejifungua jana kwa upasuaji, na mwezi November mwaka huu ilikuwa tufunge ndoa.

Ndugu jamaa na marafiki wote tushawatangazia na vikao viwili vya ndugu kujiweka sawa vishafanyika, nimeenda leo asubuhi nimekutana na habari tofauti kuwa mke wangu ni MUATHIRIKA na kibaya ni kwamba alizaliwa nao.

Nimemuuliza kwanini hakuwahi kuniambia tangu mwanzoni, anasema na yeye alikuwa hajui, kesho na mimi nataka nikapime kama hospital 5 hivi ili nijue hali yangu, mwenye lolote la busara naomba anishauri na kunipa moyo, hivi inawezekana majibu ya kesho yakaniacha salama kweli?

Kubwa nawakumbusha wote kamwe usirudie kosa nililofanya mimi la kumwamini huyu mwanamke, tayari nimeshafanya kosa naomba nisilaumiwe.

Nishaurini vizuri nifanyaje kwa sasa, bado sijamwambia ndugu wala rafiki yeyote juu ya hili, nasubiri nipime kwanza ili nijue hatima yangu, nikipima nitareta mrejesho kwa litakalokuwa nimelipata huko.

Ahsanteni
 
Mkuu pole sana!!
Hiyo situation inaumiza kichwa!!
Nenda kapime afya, kama hujaupata itakuwa Ni jambo jema sana, lkn hata kama umeupata Ukimwi kwa dunia ya Leo sio kitu cha kuumiza kichwa sana!
Unatakiwa tu kupata ushauri Na kufuata taratibu zote ambazo utapewa Na daktari sahihi!
Nasisitiza awe daktari sahihi!!
 
Pole kwa yaliyokukuta. Hapo kua mkeo alizaliwa nao na alikua hajui kuna mashaka, ukipima virusi vya ukimwi unapata majibu kama vipo au havipo, kua viliingia kwa njia gani huwezi kujua kwa kutumia vipimo labda kwa kutumia historia ya mwathirika unaweza kukisia.
Ushauri: ni kweli ukimwi unatisha lakini ni ugonjwa kama magonjwa mengine, kwa teknologia ya madawa ilipofikia unaweza ishi miaka mingi sana hadi uzee wako ukiwa na maambukizi ya virusi hivyo, na ndani ya hiyo miaka teknologia inaendelae kukua kwahiyo kuna uwezekano mkubwa ikapatikana tiba kabisa au dawa itayovifanya visiwe na madhara mwilini mwako. Hivyo usivunjike moyo na kudhani ndio mwisho wa maisha.
Kama ukikutwa hauna maambukizi (ni kitu kinacho wezekana) mtaalamu atakushauli jinsi ya kuishi na mkeo bila yeye kukuambukiza na mta mlea mtoto wenu salama kabisa na utaendela ku enjoy ndoa yako.
Wish you luck!!
 
Pole sana kwa wakati mgumu ulionao kwasasa.
Kaa utulie kiakili kwanza kisha ukapime afya yako hospitali
Utapata ushauri na nasaha zaidi huko.
 
Duuh! mkuu,huyo mpenzi wako sidhani kama alizaliwa nao halafu hakujua,mi nina uhakika kama kweli alizaliwa nao itakiaje afike umri wa kiutu uzima kabisa asiwe anatumia hata ARVs,huyo mtu ana kinga ya namna gani hadi asinyong'onyezwe..,na vilevile wakati anaenda kliniki inamaana hakuwahi kupima?

Aache ukatili ameshakuua tayari,na mbaya zaidi umenikumbusha kifo cha binamu yangu aliyekua kaathirika,amezikwa juzi tu,HIV is real.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi huu ugonjwa siusikiagi tena, sijui ushainekana wa kawaida?

Sent From Ikulu-Magogoni street
 
naandika huku hali yangu ya akili ikiwa mbaya sana,mchumba wangu niliyeishi nae kwa miaka mi 3 amejifungua jana kwa upasuaji,na mwezi nov mwaka huu ilikuwa tufunge ndoa,ndugu jamaa na marafiki wote tushawatangazia na vikao viwili vya ndugu kujiweka sawa vishafanyika,nimeenda leo asubuhi nimekutana na habari tofauti kuwa mke wangu ni MUATHIRIKA na kibaya ni kwamba alizaliwa nao,nimemuuliza kwanini hakuwahi kuniambia tangu mwanzoni,anasema na yeye alikuwa hajui,kesho na mimi nataka nikapime kama hospital 5 hivi ili nijue hali yangu,mwenye lolote la busara naomba anishauri na kunipa moyo,hivi inawezekana majibu ya kesho yakaniacha salama kweli?
kubwa nawakumbusha wote kamwe usirudie kosa nililofanya mimi la kumwamini huyu mwanamke,tayari nimeshafanya kosa naomba nisilaumiwe,nishaurini vizuri nifanyaje kwa sasa,bado sijamwambia ndugu wala rafiki yeyote juu ya hili,nasubiri nipime kwanza ili nijue hatima yangu,asanteni...nikipima nitareta mrejesho kwa litakalokuwa nimelipata huko...
Mkuu kwa nini unasema una ukimwi? Je vipimo fake hospitali ndo vinakufanya useme una ukimwi?
Je umedhoofu?
Ngoja nikuambie ndugu, Ukimwi upo na unasababishwa na lishe duni tu pamoja na matumizi mabaya ya mwili kama Pombe, ngono nyingi, na baadhi ya dawa za hospitali ukizitumia unapata Ukimwi.
lakini ukimwi hausababishi na kirusi cha HIV kama tulivyoamanishwa. Huyo mkeo hana anaweza kuwa na Ukimwi lakini asiwe na HIV.
Tena nakuonya usijaribu kuanza kutumia ARV ndo utaanza kuugua kweli ukimwi, anza lishe bora na ufuate kanuni za afya ili uepuke mtego wa ARV.
Hizo dawa ni mtego wa kibiashara ya madawa ya Viwanda vya madawa. Chunga sana na ujifunze zaidi kuhusu hiyo kitu.
Jaribu ku google na ujifunze zaidi kuhusu "Aids is a hoax".
 
naandika huku hali yangu ya akili ikiwa mbaya sana,mchumba wangu niliyeishi nae kwa miaka mi 3 amejifungua jana kwa upasuaji,na mwezi nov mwaka huu ilikuwa tufunge ndoa,ndugu jamaa na marafiki wote tushawatangazia na vikao viwili vya ndugu kujiweka sawa vishafanyika,nimeenda leo asubuhi nimekutana na habari tofauti kuwa mke wangu ni MUATHIRIKA na kibaya ni kwamba alizaliwa nao,nimemuuliza kwanini hakuwahi kuniambia tangu mwanzoni,anasema na yeye alikuwa hajui,kesho na mimi nataka nikapime kama hospital 5 hivi ili nijue hali yangu,mwenye lolote la busara naomba anishauri na kunipa moyo,hivi inawezekana majibu ya kesho yakaniacha salama kweli?
kubwa nawakumbusha wote kamwe usirudie kosa nililofanya mimi la kumwamini huyu mwanamke,tayari nimeshafanya kosa naomba nisilaumiwe,nishaurini vizuri nifanyaje kwa sasa,bado sijamwambia ndugu wala rafiki yeyote juu ya hili,nasubiri nipime kwanza ili nijue hatima yangu,asanteni...nikipima nitareta mrejesho kwa litakalokuwa nimelipata huko...
Mkuu kwa nini unasema una ukimwi? Je vipimo fake hospitali ndo vinakufanya useme una ukimwi?
Je umedhoofu?
Ngoja nikuambie ndugu, Ukimwi upo na unasababishwa na lishe duni tu pamoja na matumizi mabaya ya mwili kama Pombe, ngono nyingi, na baadhi ya dawa za hospitali ukizitumia unapata Ukimwi.
lakini ukimwi hausababishi na kirusi cha HIV kama tulivyoamanishwa. Huyo mkeo hana anaweza kuwa na Ukimwi lakini asiwe na HIV.
Tena nakuonya usijaribu kuanza kutumia ARV ndo utaanza kuugua kweli ukimwi, anza lishe bora na ufuate kanuni za afya ili uepuke mtego wa ARV.
Hizo dawa ni mtego wa kibiashara ya madawa ya Viwanda vya madawa. Chunga sana na ujifunze zaidi kuhusu hiyo kitu.
Jaribu ku google na ujifunze zaidi kuhusu "Aids is a hoax".
 
Pole sana ila kuna watu duniani wana roho mbaya inaonesha huyo dada alikuwa anajijua kabisa kama she is hiv positive but hakutaka kukuambia......all in all nenda tu kacheck na kubaliana matokeo yoyote yale utakayopata......

Nachokushauri usipanic tu kumbuka una ndugu zako still wanakuhitaji,kuwa na imani

Ubinadamu kazi sana kuna watu wanapenda kuwaangamiza wenzao Mungu aendelee kutulinda
 
Tulia kwanza mkuuu endelea na mambo yako jiaminishe Ni kitu Cha kawaida tuu kupima utapima tuu siku za usoni jazba na wasiwasi utakapokua umepungua ila Ni njema pia kujua afya yako mapema.
 
naandika huku hali yangu ya akili ikiwa mbaya sana,mchumba wangu niliyeishi nae kwa miaka mi 3 amejifungua jana kwa upasuaji,na mwezi nov mwaka huu ilikuwa tufunge ndoa,ndugu jamaa na marafiki wote tushawatangazia na vikao viwili vya ndugu kujiweka sawa vishafanyika,nimeenda leo asubuhi nimekutana na habari tofauti kuwa mke wangu ni MUATHIRIKA na kibaya ni kwamba alizaliwa nao,nimemuuliza kwanini hakuwahi kuniambia tangu mwanzoni,anasema na yeye alikuwa hajui,kesho na mimi nataka nikapime kama hospital 5 hivi ili nijue hali yangu,mwenye lolote la busara naomba anishauri na kunipa moyo,hivi inawezekana majibu ya kesho yakaniacha salama kweli?
kubwa nawakumbusha wote kamwe usirudie kosa nililofanya mimi la kumwamini huyu mwanamke,tayari nimeshafanya kosa naomba nisilaumiwe,nishaurini vizuri nifanyaje kwa sasa,bado sijamwambia ndugu wala rafiki yeyote juu ya hili,nasubiri nipime kwanza ili nijue hatima yangu,asanteni...nikipima nitareta mrejesho kwa litakalokuwa nimelipata huko...
UPUNGUFU WA KINGA MWILINI usikukatishe tamaa ya maisha ndg maisha ya mwanadamu yana siri kubwa; think of mtu aliyekufa leo akiwa imara wa afya, tajiri wa mali etc.

Nataka kukupa moyo kuwa UKIMWI sio mwisho wa wewe kuishi.
 
Back
Top Bottom