BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
wasamehe hao wadada, si unaona hali ya hewa hii? Sio kosa lao....
Hahahaah!! Kumbe nimemwaga mchele kwenye kuku wengi..
Juzi baada ya saa za kazi, nikiwa naondoka ofisini nilikuta akina dada wa hapa ofisini getini wakinunua machungwa. Nikamuomba dada mmoja kwa kumwambia naomba "Tukatiane" chungwa aliloshika mkononi. Ajabu watu waliosikia waliangua kicheko. Sasa imekuwa kero kila mtu anayeniona ktk korido za ofisi hasa wasichana salamu zao huwa "Tukatiane", hata nikiwa mbali mijitu inapaza sauti "TUKATIANE"
ok mkuu!kwa hiyo midume yote akiwemo erickb52 wanataka wakatiane na yule dada,na wadada wote akiwemo cheusimangala wanataka wakatiane na wewe?kinachokushinda nini sasa mtoto wa kiume?si uwajibike!kawanunulie tenga zima la machungwa tandale mkatiane mkuu!
Ulifanya makusudi. Mwanaume mbaya wewe!!
Juzi baada ya saa za kazi, nikiwa naondoka ofisini nilikuta akina dada wa hapa ofisini getini wakinunua machungwa. Nikamuomba dada mmoja kwa kumwambia naomba "Tukatiane" chungwa aliloshika mkononi. Ajabu watu waliosikia waliangua kicheko. Sasa imekuwa kero kila mtu anayeniona ktk korido za ofisi hasa wasichana salamu zao huwa "Tukatiane", hata nikiwa mbali mijitu inapaza sauti "TUKATIANE"
Aliponikatia nilipokea kama kawaida........
Kuna siku naongea kwenye serious meeting, ofisi ngeni hata siwaju. Nikasema neno 'unakaza hapa', nilijuuta! Mi sipendi kiswahili kwa hili tu!
Hahahaaa sasa si uende au ulikuwa unatania?
Hahahaaaa
Kataviiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii nenda mka......com