habarini wana jf, jamani mwenzenu nimekuwa hurted hii ni mara ya pili uchungu ninaoputa ni kama kidonda nisaidieni nifanyaje?
mmmmmmmh!touchy :A S-heart-2:Welcome to the club....get used to it, dust off and try again. I have been hurt many times to extent I am out of repairs.:eyebrows::eyebrows:
na kwanini unainvest kwa mchumba mmoja? matokeo yake ndo hayo siku akiondoka unabaki kulia ngoja nikupm jinsi ya kuishi na hawa viumbe mtotokisa ni hi my face boyfrn aliniumza tukiwa mwaka wa tatu mm niko moshi yeye yupo udsm,na niligundua baada ya huyo dada kunipigia nakuniambia kinachoendelea,tukaanza kukata mawasiliano,then 2kaachana kabisa ,nikaka kama mwk hivi nikapata kaka mwingine km mnavyokumbuka nilishaomba ushauri kuwa MPENZI WA ZAMANI ANAJIRUDI! wakati nime accept proposal kwa mtumwingine xboy akajirudi nikakataa coz nilikuwa na mtu mwingine ,cuurent boy alionesha nia akiniambia atakuja hom kujitambulisha, kumbe kaka mwenyewe baada ya kukaa kama miezi sita nikagundua kuwa alishamvisha m2 pete ivyo anasubiria harusi 2! iyo ndio situation
kisa ni hi my face boyfrn aliniumza tukiwa mwaka wa tatu mm niko moshi yeye yupo udsm,na niligundua baada ya huyo dada kunipigia nakuniambia kinachoendelea,tukaanza kukata mawasiliano,then 2kaachana kabisa ,nikaka kama mwk hivi nikapata kaka mwingine km mnavyokumbuka nilishaomba ushauri kuwa MPENZI WA ZAMANI ANAJIRUDI! wakati nime accept proposal kwa mtumwingine xboy akajirudi nikakataa coz nilikuwa na mtu mwingine ,cuurent boy alionesha nia akiniambia atakuja hom kujitambulisha, kumbe kaka mwenyewe baada ya kukaa kama miezi sita nikagundua kuwa alishamvisha m2 pete ivyo anasubiria harusi 2! iyo ndio situation