na kwanini unainvest kwa mchumba mmoja? matokeo yake ndo hayo siku akiondoka unabaki kulia ngoja nikupm jinsi ya kuishi na hawa viumbe mtoto
na kwanini unainvest kwa mchumba mmoja? matokeo yake ndo hayo siku akiondoka unabaki kulia ngoja nikupm jinsi ya kuishi na hawa viumbe mtoto
kisa ni hi my face boyfrn aliniumza tukiwa mwaka wa tatu mm niko moshi yeye yupo udsm,na niligundua baada ya huyo dada kunipigia nakuniambia kinachoendelea,tukaanza kukata mawasiliano,then 2kaachana kabisa ,nikaka kama mwk hivi nikapata kaka mwingine km mnavyokumbuka nilishaomba ushauri kuwa MPENZI WA ZAMANI ANAJIRUDI! wakati nime accept proposal kwa mtumwingine xboy akajirudi nikakataa coz nilikuwa na mtu mwingine ,cuurent boy alionesha nia akiniambia atakuja hom kujitambulisha, kumbe kaka mwenyewe baada ya kukaa kama miezi sita nikagundua kuwa alishamvisha m2 pete ivyo anasubiria harusi 2! iyo ndio situation
poa usjalicha kujifia na mapressure?Smile, hebu niPM na mimi unipe hizo strategies
wait my diaSmile nitashukuru na mimi ukini-PM, manake na mimi waga na-invest kwa mmoja....nasubiri!
habarini wana jf, jamani mwenzenu nimekuwa hurted hii ni mara ya pili uchungu ninaoputa ni kama kidonda nisaidieni nifanyaje?
Pole mwaya mshukuru mungu kwa hilo,
Huwezi jua mungu anakuepusha na nn,
Na ujue ni lzm uumizwe ili ijue makosa yako upate mda wa kujirekebisha na kujijua thaman ya mapnz pia,
Tuliza akili kwa sasa,mwombe mungu akukutanishe na aliye wako.
na kwanini unainvest kwa mchumba mmoja? matokeo yake ndo hayo siku akiondoka unabaki kulia ngoja nikupm jinsi ya kuishi na hawa viumbe mtoto
Welcome to the club....get used to it, dust off and try again. I have been hurt many times to extent I am out of repairs.:eyebrows::eyebrows:
mapemzi yana run dunia!!
na kwanini unainvest kwa mchumba mmoja? matokeo yake ndo hayo siku akiondoka unabaki kulia ngoja nikupm jinsi ya kuishi na hawa viumbe mtoto
nipm na mm mamie plzzz..............nadhan ninauhitaj na ilo pia.
kisa ni hi my face boyfrn aliniumza tukiwa mwaka wa tatu mm niko moshi yeye yupo udsm,na niligundua baada ya huyo dada kunipigia nakuniambia kinachoendelea,tukaanza kukata mawasiliano,then 2kaachana kabisa ,nikaka kama mwk hivi nikapata kaka mwingine km mnavyokumbuka nilishaomba ushauri kuwa MPENZI WA ZAMANI ANAJIRUDI! wakati nime accept proposal kwa mtumwingine xboy akajirudi nikakataa coz nilikuwa na mtu mwingine ,cuurent boy alionesha nia akiniambia atakuja hom kujitambulisha, kumbe kaka mwenyewe baada ya kukaa kama miezi sita nikagundua kuwa alishamvisha m2 pete ivyo anasubiria harusi 2! iyo ndio situation
na kwanini unainvest kwa mchumba mmoja? matokeo yake ndo hayo siku akiondoka unabaki kulia ngoja nikupm jinsi ya kuishi na hawa viumbe mtoto
Nimesoma mara kumi sijaelewa kabisa muandike lugha inayoeleweka sie wazee hatuelewi. Lakini pole japokuwa sijaelewa nimeona tu watu wanakupa pole namimi ngoja nijiunge nao
D A bwana full editorial...
habarini wana jf, jamani mwenzenu nimekuwa hurted hii ni mara ya pili uchungu ninaoputa ni kama kidonda nisaidieni nifanyaje?