Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,316
- 677
ndo uzuri wa jf huu watu washabadirisha mada tupo kwengine kabisa ingekuwa huko kwenu fb tungeshangaa ushuhuda hapa kila mtu atasema yake.
SL kamnunia hapo anazuga kwa yasiyomhusu
atafurahi mwenyewe...akisoma humo ndani hakuna kitu watu,watu wanapeana michapo tafautii...nomaa!
sina uzima wowote uporoto kanikimbia
Hee hee!asa yeye kaingia mitin ce tufanyeje zaidi ya kustorika!pole zake!
habari ndo hiyo hata nyumbani hajafika
Nyie ni kawaida maana hata mabusu mnapigana tu bila wasi
Imekuaje tena?pole mwaya,au karudi kwa mkewe wa zaman?
Makubwa haya!asa c bora angeenda kumbembeleza wifi yetu akasamehewa tu!
kaona ametoa boko...kasepa...uchafu utokee FB ushauri aje kutafta JF..nyambafuu
wala hayuko kwa wifi husy sijui katekwa na nani
ndo anabembeleza kule kwangu
Salam zake,ce ngoja tuendelee kuchangamsha jamvi!
Tangu nimehamia jf nimeachana fb kbs na nimeepuka mengi naburudika na kuendelea kuelimika huku jf!pole mwaya!
Jg ndio wapi huko!Alaaa! Ivo eee, subiri siku ukiingia Jg ! Utashangaaje? Huko ndo mpango mzima .
Ungepiga tu!!