Nimekutana na malaika

Nimekutana na malaika

Status
Not open for further replies.
Sikutaka kuandika mengi as najua vile unajisikia, it feels good hasa kukutana na mtu sahihi kwa wakati sahihi.

Usije kuharibu tu na micheps na hits zako. Kuna sacrifices nyingi lazima ufanye ili muwe na familia bora.
Hahaa asante " nitayahifadhi haya maneno ya kwenye hii aya ya pili " nimuhimu mnoo kwa ustawi wa penzi letu ".
 
Pengine ana lijamaa linalomhudumia pembeni lina mke na watoto

yaan sijui nisemeje..hakuna kiumbe hatari dunian kama wanawake....endangered spicies...!mie nash8ndwa iweka clear hii coz nashindwa nielezeje...wanawake mtuonage hv hv


sipend kwenda deep najipombekea mie sitak stress
 
yaan sijui nisemeje..hakuna kiumbe hatari dunian kama wanawake....endangered spicies...!mie nash8ndwa iweka clear hii coz nashindwa nielezeje...wanawake mtuonage hv hv


sipend kwenda deep najipombekea mie sitak stress
Unayafurahia maisha sana naona mkuu. Kwa hiyo wanawake ni viumbe walio hatarini kutoweka?
 
Asieomba pesa anategemea mwanaume ajiongeze, sasa kama hajiongezi malalamiko tinapata sisi mashosti ila mhusika haambiwi. Kuact uinnocent napo kunataka moyo.
Ndiyo hapo, halafu ukute me mwenyewe kauzu utajuta, ke anatafuta huko na kuja kumtunza marioo
 
Hahaha mkuu kuna ule uzi wako " unazungumzia umuhimu wa wanawake kuwa wasaidizi kwa wanaume " uliongeaga point zilishiba sana mule " kuanzia siku ile nikakuvisha manyota kibao " nashangaa leo waniangusha " sijui umekula maharage ya wapi wewe !!?

Siku ile nilikuwa nimevuta bangi.
 
Yaani mpaka scure sms ime stuck mkuu
Ila mzee umenasa hadi kugonga na kusepa umeacha!!!!

Hivi mabinti wangapi umewatia kwenye blacklist ili wasikuharibie kwa shemeji?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom