Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,437
- 176,389
Wacha bwana!!
Usaidizi " hauna mipaka " kama unapenda kupewa pesa sio mbaya " lakini yakupasa ujiongeze angalau hata uchangie kuleta mawazo chanya yatakayo saidia ongezeko la pesa " ...sio kuomba tu then ukishapewa " huna mchango mwingine wowote hata waki mawazo tija yatakayo weza kuwasaidia kuinuka zaidi ..... huyu Mtu wa namna hii simujitaji


