Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 21,037
- 46,879
Umeona alivyo shiba laikini?We jamaa Hili swali lako nimecheka Sana.
Hivi katika Hali ya kawaida unaweza kumshika chatu mkia hivyo alafu akakuangalia tu? Labda chatu wa kuchora kwenye gazeti.
Umeona alivyo shiba laikini?We jamaa Hili swali lako nimecheka Sana.
Hivi katika Hali ya kawaida unaweza kumshika chatu mkia hivyo alafu akakuangalia tu? Labda chatu wa kuchora kwenye gazeti.
HAHAAAAAAAAAAA,,...nini paka anameza mbuzi huyoHili nalo niliwahi kuliona pale chalinze alikua mkubwa si mchezo alimeza paka
Wanaume wa Dar ni hasara kwa Taifa.Wanaume wa Dar hapo wangevunjavunja mihogo kwa kutimua mbio. Kesho ungeenda kuangalia shamba ungelidhani tembo kapita
Ukiwapelekea Wachina mdudu kama huyo, aisee watakushukuru mpaka basi.Niwekee kwenye friji nakuja kumchukua namba yangu nimekutumia pm
Si wachina tuh mkuu nyama ya nyoka ni tamu sana hasa hawa waliokua kienyeji na kukomaa vyema.pia ngozi yake nakazi nayo sanaaUkiwapelekea Wachina mdudu kama huyo, aisee watakushukuru mpaka basi.
Amemeza gunia la mahindi?
😂😂😂Wanaume wa dar hapo wangevunjavunja mihogo kwa kutimua mbio. Kesho ungeenda kuangalia shamba ungelidhani tembo kapita
Chatu likishiba linakua boya haliwezi kufanya chochote, Unaweza kuliua au kulifuga..We jamaa Hili swali lako nimecheka Sana.
Hivi katika Hali ya kawaida unaweza kumshika chatu mkia hivyo alafu akakuangalia tu? Labda chatu wa kuchora kwenye gazeti.
Kuna Rafk angu wakat wapo Jkt walikua wanamfanya kitoweo....Niwekee kwenye friji nakuja kumchukua namba yangu nimekutumia pm
Wanaume wa dar es salaam wanakoment wap 😊🤓😂🤣😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂Wanaume wa Dar ni hasara kwa Taifa. Usikute wengine wanaogopa hata kuangalia tu hiyo picha. Yaani ni waoga balaa.
Kambi ganiKuna Rafk angu wakat wapo Jkt walikua wanamfanya kitoweo....
Kilichokula lazima na chenyewe kiliwe chatu, kenge ni watamu mno kuliko hata kuku wenu na kitimotoSi wachina tuh mkuu nyama ya nyoka ni tamu sana hasa hawa waliokua kienyeji na kukomaa vyema.pia ngozi yake nakazi nayo sanaa
Ok,ni kitiweo safi sana ukimla Kwa mara Moja tuh hutokaa uache mzoga wa nyoka ukizagaaNgerengere
Chatu si naskia ni mpole sana?tofauti na wakina cobra?na hata kukimbia haliwezi zito sanaHata hao jamaa hawajamuua wenyewe. Mziki wa chatu mkubwa Kama huyo kumuua siyo mchezo.
Ongeza picha..Kwa faida ya watazamaji..