Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,256
- 108,241
Kuna Rafk angu wakat wapo Jkt walikua wanamfanya kitoweo....
Nyama ya nyoka ina minyoo sana, usipoiandaa vizuri unajitafutia madhara tu mwilini
Kuna Rafk angu wakat wapo Jkt walikua wanamfanya kitoweo....
Hapo moro Kuna kambi ya Chita Jkt92KV ile Kambi sio jkt mzee
Ipo kamandi ya HQ ( head quarter)
Ni makomando TU ndo wanapatikana hapo
Wachina wanakula mpk Mamba..Nyama ya nyoka ina minyoo sana, usipoiandaa vizuri unajitafutia madhara tu mwilini
Kila kitu kasoro maweWachina wanakula mpk Mamba..
Huyu yupo NARCO mle porini ranch.Kuna siku ametuzibia njia kwa masaa manne Hadi alipoamua mwenyewe kuondoka!
Singida hiiKanda ya kati
Sio china tu uko mbali peleka Kambi yoyote ya jkt vijana watakushukuru supu nzuri sana hiyoUkiwapelekea Wachina mdudu kama huyo, aisee watakushukuru mpaka basi.
Dodoma ipi?Kisasa,Bahi,Chemba,Chamwino nk!Dodoma
Unaweza mtia dole a katulia tuChatu Mnaweza Kumshika Mkia na Asiwafanye chochote Kama Ametoka Kula Akavimbiwa Huwa hana la Kufanya
Hii ni mali asili, mlitakiwa mtoe taarifa kituo cha Polisi kilicho karibu nanyi.
Hiyo ni nyama.
Mawe☺️☺️😊😊🤓🤓Kila kitu kasoro mawe
Asee limemeza nini hilo dubwana...!!!Kanda ya kati
Weka sura ya python na ya kwako tuzione🤔Weka na sura yake tuone.
Asee wewe jamaaWanaume wa Dar hapo wangevunjavunja mihogo kwa kutimua mbio.
Kesho ungeenda kuangalia shamba ungelidhani tembo kapita





Acheni dharauWanaume wa Dar hapo wangevunjavunja mihogo kwa kutimua mbio.
Kesho ungeenda kuangalia shamba ungelidhani tembo kapita