IamBrianLeeSnr
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 2,010
- 4,182
Hela iyo nyingi sana hapo...Ukiwapelekea Wachina mdudu kama huyo, aisee watakushukuru mpaka basi.
Hela iyo nyingi sana hapo...Ukiwapelekea Wachina mdudu kama huyo, aisee watakushukuru mpaka basi.
😃😃 Muda huu watakuwa wanakanyagana kuukimbia huu uzi.Wanaume wa dar es salaam wanakoment wap 😊🤓😂🤣😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
Anazo? Hii moja kwanza imepigwa kimagumashi kweli kweli. Sijui ni kwa nini. Joka kubwa kama hili asipige picha nyingi lionekane lote?Ongeza picha..Kwa faida ya watazamaji..
Inawezeka hapo wamejikaza sana kilishika😂😂😂 kila nafsi inauoga ispokua ujasiri ndio unatupa nguvu tu!Anazo? Hii moja kwanza imepigwa kimagumashi kweli kweli. Sijui ni kwa nini. Joka kubwa kama hili asipige picha nyingi lionekane lote?
ulishawahi sikia kibao cha msondo usimchezee chatu,unafikiri nini apoChatu si naskia ni mpole sana?tofauti na wakina cobra?na hata kukimbia haliwezi zito sana
Inawezekana pia ikawa ni fix... Na ndivyo ninavyoamini!Inawezeka hapo wamejikaza sana kilishika😂😂😂 kila nafsi inauoga ispokua ujasiri ndio unatupa nguvu tu!
Kuna wa Vietnam nilikuwa naangalia video zao wakiwinda nyoka nilijifunza kitu.We jamaa Hili swali lako nimecheka Sana.
Hivi katika Hali ya kawaida unaweza kumshika chatu mkia hivyo alafu akakuangalia tu? Labda chatu wa kuchora kwenye gazeti.
Hata kama ameshiba mkuu,chatu huwezi kumfanyia huo ujinga ingawa ni nyoka mpole Sana hasa nyoka hasa akishiba . Hata Kama umerukwa na akili,ukimwona chatu live,akili inakaa sawa.Umeona alivyo shiba laikini?
Yeah chatu ni mpole Sana,ila Kama unapita na mishe zako na yeye awe ameshiba, lakini ukitaka kumuua hapo hapatoshi.Chatu si naskia ni mpole sana?tofauti na wakina cobra?na hata kukimbia haliwezi zito sana
Huyo ni chatu
Sikufanikiwa kulipima urefu mkuuAna urefu gani kwa ft ? Kama umempima
HahahaWanaume wa Dar hapo wangevunjavunja mihogo kwa kutimua mbio.
Kesho ungeenda kuangalia shamba ungelidhani tembo kapita
HatujamuuaNi mrefu mno
Mmemwua?
Kama bado wasilianeni na mali asili wakamhifadhi huko awe kivutio
Huyo chatu tumemkalisha tukiwa makamanda watatu TUHata hao jamaa hawajamuua wenyewe. Mziki wa chatu mkubwa Kama huyo kumuua siyo mchezo.
Kobra tunakutana nao sanaHyo mitaa siyo ya kuishi , kama kuna michatu hvyo , kifutu na kobra hawakosi pia , daah maisha ya Pori yana watu wake Kwa kweli
Kama hiviNiwekee kwenye friji nakuja kumchukua namba yangu nimekutumia pm
Sio mchezoDaah kweli ninyi wazee wa kazi...
KAmbn hyo mzee? Au uraiani?Sio mchezo