HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,971
- 102,754
Afu dada zenu wanakuja jiuza DarWanaume wa Dar ni hasara kwa Taifa.
Usikute wengine wanaogopa hata kuangalia tu hiyo picha.
Yaani ni waoga balaa.
Afu dada zenu wanakuja jiuza DarWanaume wa Dar ni hasara kwa Taifa.
Usikute wengine wanaogopa hata kuangalia tu hiyo picha.
Yaani ni waoga balaa.
Sababu alikuwa keshakula mzigo, vinginevyo .....Daah kweli ninyi wazee wa kazi...
Hao Mungu alielekeza tuwaueDaa so sad
Hapo alikuwa ameshiba nyama ingesagika tumboni miezi 2 na zaidi bila kula tena
Yaani nisingekubali wamuuwe
Wapole sana Kama wameshiba
Wana speed wakati wanavamia tu ila hapo hana ujanja
mngemuacha tu aendelee na maisha yake
Kwa hiyo unadhani ni rahisi kwa kila mtu kumshika huyo nyoka kisa amekula?Sababu alikuwa keshakula mzigo, vinginevyo .....
Kuna hadith inasema "Na mkiwaona majumbani kwenu watoeni mara 3 (waambieni watoke) na wasipotoka waueni maana ni ishara mbaya ya jinnHao Mungu alielekeza tuwaue
Kumbe wanaume wa Dar Ni waoga kiasi hicho😂Wanaume wa Dar hapo wangevunjavunja mihogo kwa kutimua mbio.
Kesho ungeenda kuangalia shamba ungelidhani tembo kapita
Wanaume wa Dar hapo wangevunjavunja mihogo kwa kutimua mbio.
Kesho ungeenda kuangalia shamba ungelidhani tembo kapita


Jf never boring..The bossPaka!Hili nalo niliwahi kuliona pale chalinze alikua mkubwa si mchezo alimeza paka

🤣🤣Wanaume wa Dar hapo wangevunjavunja mihogo kwa kutimua mbio.
Kesho ungeenda kuangalia shamba ungelidhani tembo kapita
chatu hana sumu kwahiyo unaweza kumshika tu hata akiwa haiWe jamaa Hili swali lako nimecheka Sana.
Hivi katika Hali ya kawaida unaweza kumshika chatu mkia hivyo alafu akakuangalia tu? Labda chatu wa kuchora kwenye gazeti.