Ujasiri sina ngoja cku nikelewaMtandike maneno kwa PM huko
Ili ukampindueHapana mkuu,hebu jaribu kunituma. Mimi ni mdada mwenzie...nakuwa mshenga wako. Atanielewa tu
Umenena vyema kabisaaa
Haya sasa niliyowafata pm nikawapa mitongozooo nijibuni basiii

Kuongea nae ni ngumu ila hata kuongea kwa vidole ushindwe?Ujasiri sina ngoja cku nikelewa
Kumbe nawe kama mimi tu!!!Hakika mkuu,kuna dada humu ndani mwezi wa pili huu sasa naonesha hisia zangu kwake.Ila cha ajabu hajawahi hata uthamini upendo wangu kwake.Sijui nitumie njia gani?Isitoshe yeye ni mtu alienifanya ni SIGN UP hapa jamii forums.Anyway...

Sister kumbe upo vizuri, naomba nami nikuagize.Niagize niwe mjumbe wako kwake. Hakika nitayatekeleza utakayonituma.
NitajitahidiKuongea nae ni ngumu ila hata kuongea kwa vidole ushindwe?
Duuh...hajakuelewa all that timeKuna mtu humu namtongoza tokea nijiunge jf ila hanielewi. Huu ujumbe mujarabu kabisa kwake.
Ndio my kaka!Duuh...hajakuelewa all that time
PESA PESA PESAHakika mkuu,kuna dada humu ndani mwezi wa pili huu sasa naonesha hisia zangu kwake.Ila cha ajabu hajawahi hata uthamini upendo wangu kwake.Sijui nitumie njia gani?Isitoshe yeye ni mtu alienifanya ni SIGN UP hapa jamii forums.Anyway...
Sababu anasema ni nini hataki kukuelewaNdio my kaka!
Kwasababu napenda sana pesa.Sababu anasema ni nini hataki kukuelewa
ZimefanyajePESA PESA PESA
sumaku zitavuta automaticZimefanyaje