Nimekutana na huu ujumbe

Nimekutana na huu ujumbe

Porojo tu, tafuteni hela, nani kasikia mtu mwenye hela amedharauliwa au ametendwa awe mwanamke au mwanaume. Fedha ndiyo sabuni ya roho, mapenzi ni umasikini.
Mkuu mwanamke ambae pengine unaweza kutumia hela kumridhisha kihisia na kimwili kimapenzi n.k, utaishi nae wa hivyo ni yule ambae yeye goal yake ni after money..huyo sawa mnaeza mkaishi na mind you pesa zikiisha na mkataba wake wa kua na wewe umeisha, anaondoka.
Sasa kwa yule mwanamke anaejielewa na mwenye maadili yake mzuri na mrembo, fanya hvo mpe hela na mnunulie magari na zawadi za thamani kana kwamba unadhani hatakuacha.. ndani ya mwaka mmoja then utakuja kunipa majibu
ila usiue tu.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mweee jamani wakati mwingine sisi muwe munatusamehe tu,maana hata sisi tunaonyana. (Kwa dini yangu)Biblia inasema muishi na sisi kwa akili.

Tafuta muda wa kuonana nae na isiwe pm,yamkin anakuona muongo sana.pia mueleze ukweli na akiendelea kugoma basi muache tu maana haina haja.ni sawa na kufanya biashara bila faida na kukatika mtaji.

Mweee mutuvumilie tu
 
Back
Top Bottom