Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,478
- 176,519
Invisible.Hahahhh sasa nikamwambie namjuaje mie auntie jamaan
Invisible.Hahahhh sasa nikamwambie namjuaje mie auntie jamaan
Invisible.
kumbe auntie hunipendi eenh shida yako nipewe life ban ili ufanye sherehe mtume Bonny au SakayoKwani antie invisible anameza watu?![]()
![]()
![]()
kumbe auntie hunipendi eenh shida yako nipewe life ban ili ufanye sherehe mtume Bonny au Sakayo
Amezi mtu auntie ila me nimeshindwa watume hao niliokutajiaKwani antie invisible anameza watu?
hakuna kitu nachukia kama kuwa a shoulder to cry....Wakati mwingine "patience pays" yaani uvumilivu unalipa.
Wanawake ni viumbe waenda pole. Unaweza mwambia yoote ya moyoni lakini akakukatalia hamad baada ya mwezi au miezi anajileta mwenyewe.
Kuna rafiki yangu mmoja ntamwita V. yeye alimpenda msichana anaitwa M lakin M akawa kwenye relationship na mwingine. Jamaa akavumilia wakawa wanapiga story kila siku zile goodmorning, goodnight, kukumbushana muda wa lunch nk. Baadae jamaa wa M akawa msumbufu, M akatafuta comfortability kwa V. Kama unavyojua mwanamke anajirahisisha sana kwa mwanaume anayejua care. So V akajipatia mpaka leo.
Mi nakushauri kama kweli umempenda vumilia kama miezi 6 hivi utakuwa na majibu
A shoulder to cry on might be a .....to ride on.hakuna kitu nachukia kama kuwa a shoulder to cry....
tafadhali fanya hivyo na hakikisha unanitag niwaone....Haaa huamni au unataka niwaoridheshe hapaa
Mzima mwaya, sijakuona kwenye pita pita zangu nikawa najiuliza vipi kulikoni? Ila sasa nimefurah kukuona hapa.Me Moree Neymzima mamy
Duuuuh ....A shoulder to cry on might be a .....to ride on.
It pays, kuwa na subra.
Anti acha uoga,we nenda bwana.Amezi mtu auntie ila me nimeshindwa watume hao niliokutajia
Ndio hivyo my kaka.Duuuuh ....
Nipo mpenzi jamaan nimefurahi pia kukuona najua kila kitu kinaenda vizuriMzima mwaya, sijakuona kwenye pita pita zangu nikawa najiuliza vipi kulikoni? Ila sasa nimefurah kukuona hapa.
Auntie siendi mimi jamaan nimeshindwa hao nilikuitia sio waoga ujueAnti acha uoga,we nenda bwana.
Usikate tamaa mkuu, endelea tu kumfuatilia ipo siku atakunjua moyo wake kwako.Hakika mkuu,kuna dada humu ndani mwezi wa pili huu sasa naonesha hisia zangu kwake.Ila cha ajabu hajawahi hata uthamini upendo wangu kwake.Sijui nitumie njia gani?Isitoshe yeye ni mtu alienifanya ni SIGN UP hapa jamii forums.Anyway...
Mahondaw Mimi nina wivu.....
Unitume tafazwali...nitakwenda kusema yote wala sitobadilisha neno mdogo anguSister kumbe upo vizuri, naomba nami nikuagize.
Mfwate pm mkuuHakika mkuu,kuna dada humu ndani mwezi wa pili huu sasa naonesha hisia zangu kwake.Ila cha ajabu hajawahi hata uthamini upendo wangu kwake.Sijui nitumie njia gani?Isitoshe yeye ni mtu alienifanya ni SIGN UP hapa jamii forums.Anyway...