kwel kabsa
kuna msichana nilimpenda kwa machoz yangu yote. nilimthamin na kumpa nafas ya umalkia wa dunia yangu ya mapenz lakin alichonifanya ilikuwa majuto maana alitumia nafas hyo kuninyanyasa na kunitenda alivyojifikir nililia sana na kudharauliwa na mbaya zaidi alifanya hayo katika kipind ambacho nilikuwa nataka nkamtambulishe nyumban .
baadae niligive up.
baada ya mwaka alirud et nimsamehe yaan mpaka sasa anapiga simu na kunitafta sana .
mwenyewe npo katika harakat za kuoa .
kwel wanawake wengine awapendek
kuna msichana nilimpenda kwa machoz yangu yote. nilimthamin na kumpa nafas ya umalkia wa dunia yangu ya mapenz lakin alichonifanya ilikuwa majuto maana alitumia nafas hyo kuninyanyasa na kunitenda alivyojifikir nililia sana na kudharauliwa na mbaya zaidi alifanya hayo katika kipind ambacho nilikuwa nataka nkamtambulishe nyumban .
baadae niligive up.
baada ya mwaka alirud et nimsamehe yaan mpaka sasa anapiga simu na kunitafta sana .
mwenyewe npo katika harakat za kuoa .
kwel wanawake wengine awapendek