Nimekutana na huu ujumbe

Nimekutana na huu ujumbe

Hakika mkuu,kuna dada humu ndani mwezi wa pili huu sasa naonesha hisia zangu kwake.Ila cha ajabu hajawahi hata uthamini upendo wangu kwake.Sijui nitumie njia gani?Isitoshe yeye ni mtu alienifanya ni SIGN UP hapa jamii forums.Anyway...
Usijisumbue wengine siyo
wao anaogopa ukimuona unaweza kimbia..!
 
Nikwambie kitu mkuu, go to someone who will value your time, your care, your feelings, and your love towards her. You cant force someone to love you if she doesnt have any feelings for you. One day ataelewa haya maneno but wewe utakua umetulia kwenye mikono ya unayemstahili
Hilo ndo jambo la msingi,usipoteze muda wako kwa mtu asiyekufikiria hata kwa.sekunde
 
Hakika mkuu,kuna dada humu ndani mwezi wa pili huu sasa naonesha hisia zangu kwake.Ila cha ajabu hajawahi hata uthamini upendo wangu kwake.Sijui nitumie njia gani?Isitoshe yeye ni mtu alienifanya ni SIGN UP hapa jamii forums.Anyway...
Pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom