Rule L
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 2,158
- 3,419
Hapa pananihisu 100%Nyie mlikuwa wajukuu wa kishua. Mambo ya CD na snacks.
Sisi mizecho yetu ilikuwa kombolela, na kuiba kamba za bibi tunafunga benbea zile za kwenye mti . Halafu kuna kwenda kuogelea mtoni huko na kula vimatunda pori.