Anhaa sawa Amigo .mkoa wa wapare , alafu usiniite mkuu 😅
Ndio ina maana ganAnhaa sawa Amigo .
RafikiNdio ina maana gan
Wa uswaziRafiki
Hiyo fashen haitodumu. Soon inaenda kujifia yenyewe natural death, halafu itaendelea ile iliyokuwepo kabla ya "Kila mtu abebe msalaba wake".Ndio fasheni ya sasa
Wa ushuani weweWa uswazi
Nani huyo kakudanganya? Unazijua dagaa mchele?Wa ushuani wewe
Kwanini nisizijue na huku uswazi ndio mboga yetu. Ukipata hizo za buku na vile vipilipili vya mbilimbi. Ni unga robo tu unasonga ugali siku imepita.Nani huyo kakudanganya? Unazijua dagaa mchele?
Sasa hivyo ndio vimenikuza kwahyo uwezi sema mimi ni waushuaniKwanini nisizijue na huku uswazi ndio mboga yetu. Ukipata hizo za buku na vile vipilipili vya mbilimbi. Ni unga robo tu unasonga ugali siku imepita.