........nimekukumbuka sana :'(

.....na hivi? Nani aliyempa madaraka Teamo kushikilia funguo zote za hawa wapendwa? Mimi nachukia sana,...

Ona sasa anavyonifanyia? Nitalia mimi, ohhoo!....machozi yangu hayaendagi bure!
Hahahhahah Soulmate Mbu hii post imenifanya niangue cheko katikati ya hasira loh.............. Haya Dark City, kama jopo lishaanza kazi basi mtuhumiwa namba moja nawashauri awe ni Teamo...................... (Eh kumbe mie nimeambiwa niwe mtazamaji tu)
 
Last edited by a moderator:
Hahahah Soulmate, mwabie Babu Dark City mana nnaona afanya kunkremu tu hapa............. mwenzie nshakuwa gesi sio kuni tena.

......we acha tu, yaani hajajua tu why siku hizi huanzishi thread?

Tangu siku ile nikuone Kila kitu unaki solve kwa kupangusa kibega,Mnh....nikajisemea 'misukule' ishakutoka weye 🙂 LOL
 
Last edited by a moderator:
Babu huyu Mbu lazima alienda kutambika mahala kabla hajaanzisha huu uzi, maaanaa yaani hivi hiviviiiiii (in pembes voice) hili tonge la moto ila kila nikitaka kulitema linankaba linarudi ndani lol

..... Maty, na wala usithubutu! 🙂
 
Last edited by a moderator:
......we acha tu, yaani hajajua tu why siku hizi huanzishi thread?

Tangu siku ile nikuone Kila kitu unaki solve kwa kupangusa kibega,Mnh....nikajisemea 'misukule' ishakutoka weye 🙂 LOL
.......Hahahahhahaah umeshaanza kunchokoza Soulmate, eti napangusa kibega hahahahahha. Kusema ukweli JF imekuwa mwalimu wangu mzuri sana aisee... yaani hadi naulizwa hivi ni weye kweli wa Enzi za Nalivua pendo? Maana nlikuwa machozi najaza kikombe kila siku ah......no wonder nlikuwa kimbaumbau loh
 

.......aminia swahiba, hapa ndi ndi ndi nimeshikilia pindo la koti lako, huyu Maty ana dhambi kweli! 🙁
 
Last edited by a moderator:
.....na hivi? Nani aliyempa madaraka Teamo kushikilia funguo zote za hawa wapendwa? Mimi nachukia sana,...

Ona sasa anavyonifanyia? Nitalia mimi, ohhoo!....machozi yangu hayaendagi bure!

Usiwe na wasi babu DC anahakikisha hakiaharibiki kitu hapa. Si umeona mwenyewe wabishi wote kina sie Nyamayao, King'asti n.k wote wapooooole sasa ndio nimeamini utu uzima dawa asee
 
Last edited by a moderator:
Usiwe na wasi babu DC anahakikisha hakiaharibiki kitu hapa. Si umeona mwenyewe wabishi wote kina sie Nyamayao, King'asti n.k wote wapooooole sasa ndio nimeamini utu uzima dawa asee

.....duh, afadhali ----kweli Mungu ni Mwema----
 
Last edited by a moderator:
................. na ukishinda hii kesi nina ushahidi wa kutosha kuwa mlalamikaji alitoa rushwa ili ashinde.

....lol, soulmate bana, sasa mbona unalinzisha timbwili tenaaa, kha? Hayeshi? 🙂

Huyu King'asti mpotezee kwa kesi hii, fanya kama hahusiki kabisaaaaaa....
 
Last edited by a moderator:
Ukweli kutoka moyoni nimeipenda thread hii sana! Such a soul searching thread!

......umeona ee? Sasa imagine upo katikati ya mbuga ya serengeti...Mwendo 70kph, Vumbi, jua, mawe na mashimo njiani japo Grader za Tanapa zimejaribu kurekebisha...

...macho yanaangalia zile plains mpaka upeo wa macho----Marabou Stokes, Nyumbu, Swala, na pundamilia pembezoni mwa barabara...

mpo watatu tu...weye, 'mutima wange,' na dereva wenu ndani ya Land Cruiser, halafu kuna CD ina play wimbo wa Marvin Gaye;

♪ ♫ --- --- ♪ ♫

......acha tu!!!
 

...........Huu sasa uchokozi Soulmate! Kha!! Hebu usizichokoze hisia za Enzi za ujana wangu we Mbu.
 
Last edited by a moderator:
....lol, soulmate bana, sasa mbona unalinzisha timbwili tenaaa, kha? Hayeshi? 🙂

Huyu King'asti mpotezee kwa kesi hii, fanya kama hahusiki kabisaaaaaa....
.......... Ah mie nimesema tu just in case judgement ikionekana kuegemea upande mmoja. Hivi jopo lishaanza kazi au bado Mbu? manaa kwa umbeya mtoto wa kike mie!!
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Mbu
Last edited by a moderator:
Ila Babu Dark City na jopo lako, mie nahisi kama kuna kuhujumiwahujumiwa humu kwenye hii case vile, ................ nani anisaidie kumtafuta na kumleta lawyer @Klorokwin wajameni?
 
Last edited by a moderator:
.......... Ah mie nimesema tu just in case judgement ikionekana kuegemea upande mmoja. Hivi jopo lishaanza kazi au bado Mbu? manaa kwa umbeya mtoto wa kike mie!!

.....ningekujibu dear, ila swahiba wangu Dark City ameniminya mguu hapa.... Ngoja kiduuuchu! Hehhe
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…