100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 10,236
- 36,606
Kuzidiwa akili na mwanamke kitu cha kawaida, hata sisi hapa tulipo kuna watoto wengi wa kike wanatuzidi akili, hilo sikupingi. Na wala si sifa mbaya kwani ndivyo tumeumbwa.All in all alichofanya ni upumbavu anazidiwa akili na watoto wa kike kina Maria Sarungi?
Jiwe was a good leader sema aliwaachia vijana wake UJASIRI BILA AKILIAlipogeuka akakuta CCM wenzie hawapa.
Kuna dingi alimwingiza chaka - akamwita aje fafanye movement pamoja hapa hapa ground...aisee kumbe mtego.....akamchoma watu wakamdaka ki ulainii kama kuku wa kisasa bandani...Usingelifanya harakati zako ( nzuri, I can say by now) ukiwa hapa!
Walijua una siri zao nyingi, lazima wakumaliza as they have done!
Nakuombea huko ulipo tukuone tena.
AMINA
Sijui alikuwaje balozi, hata kuishi kwake Cuba hakujamsaidiaPole.pole niliwahi kumsikiliza ukimsikiliza wala haeleweki napia kachanganyikiwa
That's how politics works, u-snitch , kuuzana ni jambo la kwaida kama offer ikiwekwa mezaniHuenda kuna namna alisalitiwa/aliuzwa na watu aliowaamini.
Ni message kwa kina polepole wengine wasio tumia akili badala yake wanatumia mihemkokumuondoa Polepole imewasaidia nini?
Kuna dingi wa kulikomboa taifa miaka hii 🤠🤠🤠Kuna dingi alimwingiza chaka - akamwita aje fafanye movement pamoja hapa hapa ground...aisee kumbe mtego.....akamchoma watu wakamdaka ki ulainii kama kuku wa kisasa bandani...
Very sad 😔 unamwamini mtu kumbe jini.
Nasikitika sana kwanini pole² alijisahau kuwa yeye ni miongoni mwa wafuga nyoka, halafu nyoka akaota meno akamgonga yeye mwenyewe so sad 😞 😔Mifano ya walioshughulikiwa wanayo na mara nyengine walishiriki katika kushughulikiwa kwao
Pumbavu mwenyewe, tena nyie wanaharati uchwara ndo miku..n kabisaUzi unatia hasira wapumbavu wanamuulizia mtu ambaye alianza kuukataa mfumo wa kipumbavu unao kandamiza watanganyika
VPN inasoma Germany 🤠🤠🤠Hivi hizi VPN ndio zinawadanganya?
Sasa utalaamu uko wapi hapohaya mambo yanachezwa kitaalamu sana.
tatizo sisi wananchi tupo kwenye kushangilia kisa machngu tuliyonayo.
rejea, tulivyokua tunaicheka serikali/rais kwamba kamvua ubalozi mtu alijejiuzulu --- tukasahau kua ni rasmi polepole kashakua raia wa kawaida
How? Vpn ni kupata access ya field iliyofungwa haina uhusiano na identity ya mtuTanzania alikuwa anaonekana au alikuwa mafichoni mpaka walivyomtrack na kumbaini alipo?
Hivi hizi VPN ndio zinawadanganya?
Sawa lkn alikuja kuona kuwa alikuwa upande mbaya, upande wa makosa, upande wa dhambiHakuongelea mabaya ya Magufuli. Hakuongolea kitu kipya nje ya yaliyokuwa kwenye habari.
sasa wazee wa "za ndani" mbona hawaku abbort mission kama unayoyasema ni kweli? kwahiyo kwa haya uliyoyasema hapa ina maana tunaoona kwamba waandamanaji oct 29 waliingizwa chaka tupo sahihi kwa muktadha huu?Mambo ni mengi, ngoja nikae kimya tu.
Ila elewa tu asingetekwa balozi, ilikuwa ni habari nyingine. Maana waliokuwa nae walikuwa neutralized wote, na zoezi likafia pale. Niishie hapo.
Polepole chapter is closed and will not harm anybody in the future. Sawa na Major General Imran Kombe tu. Ukiwa na siri za Serikali kufa nazo tu, acha kubwabwaja. There's NO WAY uka survive. Polepole alikuwa mjinga sana.Umesema vizuri sana. Humphrey alitenda matendo mabaya sana hasa kushiriki kuanzisha huu ushetani unaoendelea Sasa.
Lakini alijitambua akakiri na kuuangukia umma kuomba radhi Kisha akaanza kutupatia za ndani.
Hata Sasa pengine harakati zinazoendelea Zina ka sehemu ka mchango wake wa habari alizotusanua.
Kama wamemuua basi wamesha fanya dhambi iliyo kuu kwa sheria za nchi yetu, na kwenye hili bi Msumi Hana PA kukwepea. Ataondoka kwenye kiti na ipo siku atakaa atakaye futa hiyo sheria ya kutoshitakiwa kwa makosa ya Aina hìi na kitamlamba
alivovuliwa hadhi ya ubalozi si kawa raia wa kawaida tu?, au kuna sehemu uliona ombi lake la kujiuzulu ubalozi wa cuba limekubaliwa popote pale?Sasa utalaamu uko wapi hapo
Subiri kwani polepole ndio yule jamaa alokua anajipost HAPA NI WAPI NAULIZA HAPA NI WAPI mukawa munampigia makofi na kumsifu kaishi urusi sijui cubaUsingelifanya harakati zako ( nzuri, I can say by now) ukiwa hapa!
Walijua una siri zao nyingi, lazima wakumaliza as they have done!
Nakuombea huko ulipo tukuone tena.
AMINA
Si kweli, wananchi walifanya upande wao ukaisha...sasa wazee wa "za ndani" mbona hawaku abbort mission kama unayoyasema ni kweli? kwahiyo kwa haya uliyoyasema hapa ina maana tunaoona kwamba waandamanaji oct 29 waliingizwa chaka tupo sahihi kwa muktadha huu?