Bin Shaib
JF-Expert Member
- Aug 1, 2019
- 1,349
- 1,223
- Thread starter
- #41
Pow mkuu lakini naamini one day yatawezekanaWote mnaopanga kwenda kujitegemea na ambao tayr mnajitegemea mungu awafanyie wepesi kwa kila hatua binafs hta mm nataman kujitegemea lkn nawaza sana pili home bi mkubwa hatak anasema nikae nae kwanza now nipo 24 yrs
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuko pamoja.sometimes Huwa napenda ku share my real experiences na watu na honestly jamaa zangu wengi wamekua wakirud kunishukuru kwa testimonies kadhaa nazowapaga na wao wanakua inspired kwenda kujaribu.
Saf sana kwa msaada wakoTuko pamoja.sometimes Huwa napenda ku share my real experiences na watu na honestly jamaa zangu wengi wamekua wakirud kunishukuru kwa testimonies kadhaa nazowapaga na wao wanakua inspired kwenda kujaribu.
Shule kivipi wakati kitambo tu nisha maliza, na sina tena wazo la kurudi shule kwa maana sasa hivi nina wazo la kufight kuhusiana na maisha yangu mkuu,Tulia hapo ujichange change . ndo utoke.usikimbilie majukumu.
Kwanza ulitakiwa uwe shule sasa hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Asikwambie mtu
Binafsi nikupongeze kwa kuwa na wazo hilo. Kujitegemea na kuwa na geto binafsi kwanza utapata changamoto ambazo zitakujenga, pili utastrugle kuhakikisha geto linakuwa na vitu muhimu na utajua vitu vingi zaidi na utaithamini pesa yako unayoipata.Wakuu habari za mwaka 2020 sina budi kumshukuru Mungu kwa kuuona tena mwaka mwingine na nawatakia maisha mema na maendeleo.
Niingie moja kwa moja kunako maada yangu wapendwa
Kwa sasa nina miaka 24 sijaoa bado toka 2018 mwezi wa 09 nimetoka nyumbani maeneo ya Sengerema nimekuja Mwanza.
Nilipofika nilifikia kwa ndugu yangu ambaye ni kama mdogo wangu maana namzidi umri kati ya miaka 2.
Nimekaa pale kama miezi 3 baada ya hapo nilienda kwa mjomba wangu ambaye nae yupo huku Mwanza. Nimeishi kuanzia mwezi wa 11-2018 na mpaka sasa hii 2020 nipo kwake.
Napiga harakati ndogo ndogo kujipatia hela ya matumizi na kuna wakati napiga naye ishu za kazi.
CHANGAMOTO YANGU KUBWA
Natamani na mimi nijitegemee; maana yake nipange geto langu nianzishe maisha yangu kama kijana. Hadi nahisi aibu muda wote kuishi bila wazo lolote ambalo litasababisha changamoto ya kujikwamua katika maisha.
Na kama mnavyojua changamoto ya kuishi kwa mtu yapasa uvumilivu, na kingine ambacho naogopa ni kuhusu hofu ya kwamba maisha ya geto ntayaweza nikiwa mwenyewe? Labda siku nikikosa ramani ya pesa itakiwaje?
Lakini wazo la kutoka hapa kwa mjomba bado sijamshirikisha nimepanga nikipata pesa ya kununua godoro na pesa ya pango la miezi mitatu ya kianzio ndiyo namtaarifu kuhusu hili.
Nimepanga mwezi wa tano niwe nishatoka hap kwa uncle na sitaki kurudi sahizi kijijini nataka nipambane kama kijana kabla sijaoa.
NATAMANI SANA USHAURI WENU WAKUU. JE, NIPO SAHIHI KWA MAAMUZI NINAYO TAKA KUCHUKUA MWAKA HUU 2020?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana hakuoa kipindi chote Cha ufalme wake na hakupenda kuwa karibu na mwanamke. Jambo hili lilimfanya kuwa mfalme wa pekee kama yule wa omanWakuu habari za mwaka 2020 sina budi kumshukuru Mungu kwa kuuona tena mwaka mwingine na nawatakia maisha mema na maendeleo.
Niingie moja kwa moja kunako maada yangu wapendwa
Kwa sasa nina miaka 24 sijaoa bado toka 2018 mwezi wa 09 nimetoka nyumbani maeneo ya Sengerema nimekuja Mwanza.
Nilipofika nilifikia kwa ndugu yangu ambaye ni kama mdogo wangu maana namzidi umri kati ya miaka 2.
Nimekaa pale kama miezi 3 baada ya hapo nilienda kwa mjomba wangu ambaye nae yupo huku Mwanza. Nimeishi kuanzia mwezi wa 11-2018 na mpaka sasa hii 2020 nipo kwake.
Napiga harakati ndogo ndogo kujipatia hela ya matumizi na kuna wakati napiga naye ishu za kazi.
CHANGAMOTO YANGU KUBWA
Natamani na mimi nijitegemee; maana yake nipange geto langu nianzishe maisha yangu kama kijana. Hadi nahisi aibu muda wote kuishi bila wazo lolote ambalo litasababisha changamoto ya kujikwamua katika maisha.
Na kama mnavyojua changamoto ya kuishi kwa mtu yapasa uvumilivu, na kingine ambacho naogopa ni kuhusu hofu ya kwamba maisha ya geto ntayaweza nikiwa mwenyewe? Labda siku nikikosa ramani ya pesa itakiwaje?
Lakini wazo la kutoka hapa kwa mjomba bado sijamshirikisha nimepanga nikipata pesa ya kununua godoro na pesa ya pango la miezi mitatu ya kianzio ndiyo namtaarifu kuhusu hili.
Nimepanga mwezi wa tano niwe nishatoka hap kwa uncle na sitaki kurudi sahizi kijijini nataka nipambane kama kijana kabla sijaoa.
NATAMANI SANA USHAURI WENU WAKUU. JE, NIPO SAHIHI KWA MAAMUZI NINAYO TAKA KUCHUKUA MWAKA HUU 2020?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah hadi machozi yanataka kunitoka kwa maana nakumbuka nimekuwa nikipata pesa na kuzitapanya ovyo nimekaa nikatafakari kumbe tatizo ni hii hali ya kuishi kwa mtu,wakati huo hupati changamoto yoyoteBinafsi nikupongeze kwa kuwa na wazo hilo. Kujitegemea na kuwa na geto binafsi kwanza utapata changamoto ambazo zitakujenga, pili utastrugle kuhakikisha geto linakuwa na vitu muhimu na utajua vitu vingi zaidi na utaithamini pesa yako unayoipata.
Nimekuelewa mkuuHapana hakuoa kipindi chote Cha ufalme wake na hakupenda kuwa karibu na mwanamke. Jambo hili lilimfanya kuwa mfalme wa pekee kama yule wa oman
Nikuhakikishie ukiwa geto kwako ukanunua vitu kwa pesa yako yaan unatumia pesa yako ndio utajua uchungu wa mama kuvunjiwa glasi unakuwaje...Dah hadi machozi yanataka kunitoka kwa maana nakumbuka nimekuwa nikipata pesa na kuzitapanya ovyo nimekaa nikatafakari kumbe tatizo ni hii hali ya kuishi kwa mtu,wakati huo hupati changamoto yoyote
Sent using Jamii Forums mobile app