Nimekua, natamani kujitegemea

Nimekua, natamani kujitegemea

Ni mawazo mazur ulonayo.Jitahid uhakikishe yanakua halisi.Ukiona una unsettled mind namna hiyo,basi ujue tayar ushapiga hatua moja wap kuelekea maendeleo.

Hofu ni kawaida tu kuwa nayo na usfikir kuna siku utakosa kuwa na hofu.So usi mind sana kuhus hilo maana hata sie wenye miaka kibao kwenye ndoa na maisha kila siku hofu tunazo.Ndio zinatufanya na pia zinatusukuma kuendelea kupambana.

I remember Gheto langu la kwanza kupanga nikiwa na 22 years ilikua tandika, nakumbuka ilikua 25,000/= per month.Kamlango kabovuu, dirsha hovyooo..bati imechoka choka linavuja maeneo kadhaa kiasi kwamba mvua ikinyesha nattegesha sufuria kuzuia maji yasijae ndani halaf usiku panya wa nje wanaingia ndani kujistili .wakat wa kulala usiku mlangoni naweka vyombo ila mtu/mwizi akitaka kuingia akisukuma mlango vidondoke nishtuke
Ahahahahaha.

Nilikua sikaribishi wshkaji kabisaa.Mademu ndio hata sikuwah mana kagheto dah kalikua kabaya kwel yan.
But ukiwa kwako trust me unnapata fursa ya kuwaza kuendelea na kupiga hatua mbele.
Nikapambana baadavya miaka kadhaa nikahamia ka gheto kazuri zuri kidogo.
Baada ya miaka tena flan nikapanga chumba sebule.
Baada ya miaka flan tena nika panga nyumba nzima standard
Here we are...hata habar za kupanga tushazisahau

Dont settle for the less

All the best.
 
Hongera japo changamoto huwa hizo kwa maana ya uendeshaji wa bajeti yako ukiwa na pesa nyingi usiji sahau maana kunakipindi utapigika dolo mpaka utakosa hela ya Maji 500tzs
Mwanzo huwa mgumu siku zote lakini unazoea Kama Kodi unaweza jinsi gani nitaweza kuimudu hata usipo pata hiyo pesa kwa wakati kikubwa Jenga uhusiano mzuri tu na mwenye pango lake hata kubana kivile ili usije ukaona ulikosea kufaya maamumizi kingine niwashauri vijana usipange ghetto kisa mademu panga kwa malengo yako utatoka na usipange ikiwa huna shughuli yoyote ya kufanya mjini
Na mwisho kabisa kuwa makini na mademu wengine unapotaka awe anakuja kukusaidia kazi za ghetto lako Kuna lolote linaweza kutokea kuibiwa au kusakiziwa mimba au ndoa ya mkeka
 
Wakuu habari za mwaka 2020 sina budi kumshukuru Mungu kwa kuuona tena mwaka mwingine na nawatakia maisha mema na maendeleo.

Niingie moja kwa moja kunako maada yangu wapendwa

Kwa sasa nina miaka 24 sijaoa bado toka 2018 mwezi wa 09 nimetoka nyumbani maeneo ya Sengerema nimekuja Mwanza.

Nilipofika nilifikia kwa ndugu yangu ambaye ni kama mdogo wangu maana namzidi umri kati ya miaka 2.

Nimekaa pale kama miezi 3 baada ya hapo nilienda kwa mjomba wangu ambaye nae yupo huku Mwanza. Nimeishi kuanzia mwezi wa 11-2018 na mpaka sasa hii 2020 nipo kwake.

Napiga harakati ndogo ndogo kujipatia hela ya matumizi na kuna wakati napiga naye ishu za kazi.

CHANGAMOTO YANGU KUBWA

Natamani na mimi nijitegemee; maana yake nipange geto langu nianzishe maisha yangu kama kijana. Hadi nahisi aibu muda wote kuishi bila wazo lolote ambalo litasababisha changamoto ya kujikwamua katika maisha.

Na kama mnavyojua changamoto ya kuishi kwa mtu yapasa uvumilivu, na kingine ambacho naogopa ni kuhusu hofu ya kwamba maisha ya geto ntayaweza nikiwa mwenyewe? Labda siku nikikosa ramani ya pesa itakiwaje?

Lakini wazo la kutoka hapa kwa mjomba bado sijamshirikisha nimepanga nikipata pesa ya kununua godoro na pesa ya pango la miezi mitatu ya kianzio ndiyo namtaarifu kuhusu hili.

Nimepanga mwezi wa tano niwe nishatoka hap kwa uncle na sitaki kurudi sahizi kijijini nataka nipambane kama kijana kabla sijaoa.

NATAMANI SANA USHAURI WENU WAKUU. JE, NIPO SAHIHI KWA MAAMUZI NINAYO TAKA KUCHUKUA MWAKA HUU 2020?

Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nikupongeze kwa kuwa na wazo hilo. Kujitegemea na kuwa na geto binafsi kwanza utapata changamoto ambazo zitakujenga, pili utastrugle kuhakikisha geto linakuwa na vitu muhimu na utajua vitu vingi zaidi na utaithamini pesa yako unayoipata.
 
Wakuu habari za mwaka 2020 sina budi kumshukuru Mungu kwa kuuona tena mwaka mwingine na nawatakia maisha mema na maendeleo.

Niingie moja kwa moja kunako maada yangu wapendwa

Kwa sasa nina miaka 24 sijaoa bado toka 2018 mwezi wa 09 nimetoka nyumbani maeneo ya Sengerema nimekuja Mwanza.

Nilipofika nilifikia kwa ndugu yangu ambaye ni kama mdogo wangu maana namzidi umri kati ya miaka 2.

Nimekaa pale kama miezi 3 baada ya hapo nilienda kwa mjomba wangu ambaye nae yupo huku Mwanza. Nimeishi kuanzia mwezi wa 11-2018 na mpaka sasa hii 2020 nipo kwake.

Napiga harakati ndogo ndogo kujipatia hela ya matumizi na kuna wakati napiga naye ishu za kazi.

CHANGAMOTO YANGU KUBWA

Natamani na mimi nijitegemee; maana yake nipange geto langu nianzishe maisha yangu kama kijana. Hadi nahisi aibu muda wote kuishi bila wazo lolote ambalo litasababisha changamoto ya kujikwamua katika maisha.

Na kama mnavyojua changamoto ya kuishi kwa mtu yapasa uvumilivu, na kingine ambacho naogopa ni kuhusu hofu ya kwamba maisha ya geto ntayaweza nikiwa mwenyewe? Labda siku nikikosa ramani ya pesa itakiwaje?

Lakini wazo la kutoka hapa kwa mjomba bado sijamshirikisha nimepanga nikipata pesa ya kununua godoro na pesa ya pango la miezi mitatu ya kianzio ndiyo namtaarifu kuhusu hili.

Nimepanga mwezi wa tano niwe nishatoka hap kwa uncle na sitaki kurudi sahizi kijijini nataka nipambane kama kijana kabla sijaoa.

NATAMANI SANA USHAURI WENU WAKUU. JE, NIPO SAHIHI KWA MAAMUZI NINAYO TAKA KUCHUKUA MWAKA HUU 2020?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana hakuoa kipindi chote Cha ufalme wake na hakupenda kuwa karibu na mwanamke. Jambo hili lilimfanya kuwa mfalme wa pekee kama yule wa oman
 
Binafsi nikupongeze kwa kuwa na wazo hilo. Kujitegemea na kuwa na geto binafsi kwanza utapata changamoto ambazo zitakujenga, pili utastrugle kuhakikisha geto linakuwa na vitu muhimu na utajua vitu vingi zaidi na utaithamini pesa yako unayoipata.
Dah hadi machozi yanataka kunitoka kwa maana nakumbuka nimekuwa nikipata pesa na kuzitapanya ovyo nimekaa nikatafakari kumbe tatizo ni hii hali ya kuishi kwa mtu,wakati huo hupati changamoto yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah hadi machozi yanataka kunitoka kwa maana nakumbuka nimekuwa nikipata pesa na kuzitapanya ovyo nimekaa nikatafakari kumbe tatizo ni hii hali ya kuishi kwa mtu,wakati huo hupati changamoto yoyote

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikuhakikishie ukiwa geto kwako ukanunua vitu kwa pesa yako yaan unatumia pesa yako ndio utajua uchungu wa mama kuvunjiwa glasi unakuwaje...
 
Back
Top Bottom