Nimekosea Wapi?

Mkuu wasi wasi wangu ndio huo,na sababu ya kusema sitaki waowane hata upande wa mume wangu wana tradition kama yetu,sasa sitaki itokeee najua hakuna alie ona kesho ila staki nione hivi vitu vinajirudia...
 


Upiversity
 
Sijasema uongo na siwezi kuwasingizia!
Nimeishi na wakurya mda mrefu na Shemeji zangu kabisa!!
najua nini nasema na nina uhakika

Asee we jamaa akili zako ni bure wakurya Wa wapi hao wanaowana ndugu kwa ndugu acha uongo Mimi ni mkurya hicho kitu hakipo
 
Unataka kuniambia too a moment huyo shemeji yako hajamla kweli?
Hilo swali halijibu! limeulizwa toka mwanzo kabisa!
Kitu ambacho nafikiri hakiwezekani wawe hawajawahi kuonjana mpaka watake kuoana!
 
Funga hoja muulize mdogo wako anampenda shemeji
Inawezekana yuko in love ukasababisha maumivu
Pia kwakuwa wewe mkubwa na unajali kesho yake basi mwambie atafute mume mwingine hata mie sipendezwi ndugu wakioana mana ugomvi wa ndoa unakuwa wa ukoo mzima na kujazana chuki + kutafutana uchawi
 
Hilo swali halijibu! limeulizwa toka mwanzo kabisa!
Kitu ambacho nafikiri hakiwezekani wawe hawajawahi kuonjana mpaka watake kuoana!
If hiyo ni fact kwanini wasiwe huru kuoana hasa ukizingatia ndoa ni makubaliano ya watu wawili walioridhiana?
 
watakuwa wahindi hawa, ila kuoana ndugu kwa ndugu, sisi wabantu ugonvi wake syo wa hapa, na kuzuia hili kuna logic ...
 
Mkuu wasi wasi wangu ndio huo,na sababu ya kusema sitaki waowane hata upande wa mume wangu wana tradition kama yetu,sasa sitaki itokeee najua hakuna alie ona kesho ila staki nione hivi vitu vinajirudia...

Duh! Okay. Tuseme shemeji na mdogo wako wakaheshimu maamuzi yako na kutafuta wenza wengine na kuanzisha nao familia, utazuia vipi watoto wao wakija kuoana na wanao? Au hiyo haitakuwa na madhara makubwa?
 
kama na kwa mume kuna tabia izo za kuoana basi uko sahihi kabisa kupinga hili, simamia kwenye hilo na utafanikiwa
 
Ewaaaa! Umeongea point kubwa sana. Kama mdogo mtu anampenda jamaa na yuko tayari kuolewa naye mengine yote tisa kumi waachiwe na penzi lao wao na Mungu wao badala ya maamuzi ya NIMPENDENANI kuleta chuki kubwa ndani ya familia.

 
...huyo kaleta porojo tu hana uthibitisho wa kisayansi,
..na isitoshe hao ni mashemeji tu hawana undugu wowote;
.na hoja ya watoto kuja kuoana inajifia kibudu maana wao kama wazazi hawakufanya hivyo!
..hitimisho:bibie hana sababu yoyote ya maana kumzuia mdogo wake kuolewa!
.asante kwa kuelewa!
 
Duh! Okay. Tuseme shemeji na mdogo wako wakaheshimu maamuzi yako na kutafuta wenza wengine na kuanzisha nao familia, utazuia vipi watoto wao wakija kuoana na wanao? Au hiyo haitakuwa na madhara makubwa?
siwezi ila kwa huyu wangu mimi sababau nna mmudu na ni bora kwa afya ya vizazi vyetu ntajitahidi anielewe na inshallah atanilewa japo itamchukua mda..
 
Ahsante Sonia kwa kunielewa,kwani humu kuna wengine wanasoma kwa ajili yakujibu,hawasomi wakaelewa nini naomanisha, ila its okay linapo mkuta mwenzio wengi hawalioni lina maana mpaka liwakute ndio wajue...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…