Nimekosa usingizi kabisa kwa haya nayosikia toka kwa wakwe zangu muda huu

Baadaye tukashauriana na wife kama kuna chumba cha bure ya nini tupoteze pesa kwenda kupanga.basi tukaendelea na utaratibu wa kuzaa na tunashukuru mungu sasa tuna watoto watatu.

Pumbavu wewe

Nikafanya kazi kwa wahindi hawa mshahara wakawa sometime wanalipa tarehe 1 au 2

Kuna wenzako wanalipwa mshahara wa mwezi uliopita tarehe 20 ya mwezi unaofuata boya ww

Hayo malalamiko ni kutoka kwa bwana mdogo mmoja nlimtangulia shule kwa sasa nadhani ana miaka kati ya 40-43

Hayo ni maneno yako wewe usijifche kwenye kivuli cha fimbo
 
  • Kicheko
Reactions: apk
Hayo ni maneno wewe usijali huenda walikuwa wanaota tu.
Acha uvivu wa kuzaa bado watoto watatu? Kazi huna hata kuzalissha mkeo napo unashindwa hapo ndipo unaweza kuondolewa hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe endelea tu kucheza na watoto nyumbani bila kazi ila muda hausubiri mtu,utajikuta muda umeenda na mambo yamebadilika,badala ya wewe kucheza na watoto itabadilika na kua watoto ndio watakua wanacheza na wewe hapo umeshakua Kikongwe.
 
Aibu kubwa kwako
Umehamia kwao mke, unalala nyumba moja na wazazi wa mke, umezalia kwao mke watoto3, hufanyi kazi yoyote ya kukupa kipato
 
Kikwetukwetu kulala kwa wakwe ni tusi.

Mzee mkweo anakuwa mkali kwa sabb, unamlala mwanae na mamaake analalwa humohumo. Ni fedheha kuu. Amka mzee umelala.
 
Chizi Maarifa,
Hii hadithi inatusaidia nn? Wewe ni wa kiume, maana ungekuwa mwanaume hata kuandika huu Uzi ungeona aibu, unaishi ukweni? Kwetu tu siwezi ishi zaidi ya kwenda kusalimia na kurudi kwangu
 
Tafuta hela kijana na hama hapo nyumbani utaishi kwa amani sana tena sanaa
 
Kama umeweza kushtuka usingizini ukasikia wanayoongea wakwe zako maana yake unaweza kushtuka usingizini siku nyingine usikie wanagegedana.Hii ni aibu kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom