trash official
Member
- Dec 22, 2016
- 34
- 16
- Thread starter
- #21
Nipo diploma ndio nimeanza ni miaka mitatuSoma diploma uingie kwenye soko la ajira
Nipo diploma ndio nimeanza ni miaka mitatuSoma diploma uingie kwenye soko la ajira
Tunavyojua diploma ni miaka 2 , level 5&6, hiyo miaka 3 itakuwa pamoja na bacic certificate. Kwan umemaliza ln 6?Nina div 3 ya 14 ambayo kwa miaka iliyopita wengi wapo chuo na uhakika wa kufaulu nikiresit ninao Ila tatizo ni kwamba sina historia ya mtu aliewahi kuresit masomo haya akafanikiwa , nimeanza diploma ambayo ni miaka mitatu
Form 6 nimeanza 2016 bwana mkubwaTunavyojua diploma ni miaka 2 , level 5&6, hiyo miaka 3 itakuwa pamoja na bacic certificate. Kwan umemaliza ln 6?
Kwa diploma ningependa sana kusoma mechanical eng kwasababu ni multipuporse Ila utaratibu umeletwa mwaka huu kwamba ni miaka mitatuKwa ufaulu wako km ulivyoelezea unaweza kuomba diploma na ukafanikiwa sema inategemea unachotaka kusomea!
Yani naskia utaratibu umeanza mwaka huu kwamba ni miaka mitatu yan level 4&5&6Tunavyojua diploma ni miaka 2 , level 5&6, hiyo miaka 3 itakuwa pamoja na bacic certificate. Kwan umemaliza ln 6?
Tuwasiliane +255673240040Na mi pia ni mwanafunzi nimemaliza mwakahuu 4m 6 nimekosa point moja pcm kama Huyo nasoma kozi ya afya kutokana na ushauri diploma ya ufundi nackia ni shida upande wa ajira na kuna ugumu kidogo biology niliiacha tangu 4m 2 we unasoma nn diploma??? oyy mkuu toa namba tuongee zaid tupeane ushauri mi mwenyewe ckutaka kuanza certificate kwani kuna mwanafunzi 4m 6 mwaka huu alieanza diploma hakuanz certificate na hakuna mtu alikuwa na lengo la kufeli kuna sababu mwenye ushauri zaid
Sure nipo diploma kwa sasaKwa viwango hivi vya Ndalichako usitarajie mwakani. Kwa kuwa sayansi mna soko we ingia Dip upige Sayansi, ukifika huko usome kwa bidii upate GPA ya kuanzia 3.5 ya kuingia chuo direct maana mwaka huu wa Dip waliwekewa kigezo cha 3.5 kisha wakashusha 3.0 lakini tunakoelekea itafika 3.5.
niamin nduguVimepunguZwa au vitapunguzwa ndugu??
Hapo fresh, kama ndoto zako ni kupiga degree hakikisha unasoma kwa bidii upate GPA ya 3.5 la sivyo utakuja kunikumbuka. We nenda Dip ukaige maisha ya watu kwenye kusoma.Sure nipo diploma kwa sasa
Umeanza au ndo ulihitimu?Form 6 nimeanza 2016 bwana mkubwa
Form nimemaliza kaka nilikoseaUmeanza au ndo ulihitimu?
Wewe ni tatizo pia si kila alishindwa mitihani alicheza darasanan tanua akili yako uelewe mambo hasa ya elimu kwa mfumo wetu huuDogo acha kuzingua,ulicheza darasani ukafeli,nenda kare sitt
Acha defence mechanism ,kama hakucheza darasani alifanya nini? Kwa nini afeli? Kama alijua ni kilaza si angefanya mambo mengine.Mfumo,mfumo,mfumo umefanya nini?Form nimemaliza kaka nilikosea
Wewe ni tatizo pia si kila alishindwa mitihani alicheza darasanan tanua akili yako uelewe mambo hasa ya elimu kwa mfumo wetu huu
Tatizo akili yako bado finyu kuelewa hujui tatizo nililopata mpaka matokeo kuwa hivyo ,tafakari sio kukurupuka na kucoment post zisizokuhusuAcha defence mechanism ,kama hakucheza darasani alifanya nini? Kwa nini afeli? Kama alijua ni kilaza si angefanya mambo mengine.Mfumo,mfumo,mfumo umefanya nini?
achana nae Huyo .....God kakuandikia njia hiyo pita utafika tuTatizo akili yako bado finyu kuelewa hujui tatizo nililopata mpaka matokeo kuwa hivyo ,tafakari sio kukurupuka na kucoment post zisizokuhusu