Nimekoma mimi - Why mapenzi bado hayajafutwa?

Nimekoma mimi - Why mapenzi bado hayajafutwa?

Je kupendana ni lazima?

  • Hapana - Mapenzi yafutwe

    Votes: 14 40.0%
  • Ndiyo - Mapenzi yaendelee

    Votes: 23 65.7%

  • Total voters
    35
Cku iz amna kugandana mtakuja kujiua ama kuua bure, m2 asipoelewek ck 2 ujue ndo ushaachwa ivo, usimgande tafuta mwingine.
Sasa mara ngapi atakuwa anawatafutaga wengine
Kila siku wanaume wapya
Hadi lini?
Kwa nini asitulize akili afikirie aishi na mtu mmoja ambaye mwaminifu
 
Upumbavu wenu watu wawili ndo uje na ujinga eti tuachane?
Mahusiano ni kwa wenye akili tuu na Mungu kasema tuishi na wanawake kwa akili. Msipokuwa na akili tuacheni wenye akili.
Sawa, mimi nimeamua kuwaachia nyie wenye akili 👍
 
Hivi huyu ndio yule anahadithiaga anavyoliwa!

Mnaosema mapenzi yalaaniwe msubiri kwanza, ndio nipo kwenye penzi jipya na mtoto wa elfu mbili na saba! Nyie mapenzi matamu balaa hasa ukute kitu og utamwaga mpaka ubongo.
 
Binti wa zamani naandaa tour kwenda vietnam mwez wa nane katikati nikafanye marine tour and diving katika jiji la hanoi pale kuna fukwe ya "phu quoc" na "bai tu" tukirudi akili itakuwa imekukaa sawa sawa! na mapenzi hayatakutesa..
hanoi ni raha jamani hususan "pearl club" sijutii kukaa huko,,,
KARIBU UONJE UTAMU
Sawa, naenda kutoa fins zangu store.
Ngoja nije inbox tuyajenge.
 
Hivi huyu ndio yule anahadithiaga anavyoliwa!

Mnaosema mapenzi yalaaniwe msubiri kwanza, ndio nipo kwenye penzi jipya na mtoto wa elfu mbili na saba! Nyie mapenzi matamu balaa hasa ukute kitu og utamwaga mpaka ubongo.
Mpwa katikati ya kilio, umenifanya nicheke mpaka nikae chini.

Daah, na mimi pia mwanzoni yalikua matamu, yalivyoanza kuyumba yumba nikawa najisemea "pilipili inawasha lakini tamu" ila kwa sasa yamekua shubiri, nimeyatema.

Maumivu yakipunguza nitakuja kuelezea raha za kuliwa na kukojoz:uwotWater: na huyu kijana mwenye huba watu wa Tanga wanasubiri!
 
Nimepatikana aiseeh, mapenzi ni upumbavu tu 💔❤️‍🩹, 2025 uwe mwaka wa mwisho wa mambo ya kupendana.

Kama ni lazima sana, basi tubaki na ngono tu kwa ajili ya kuzaliana ila mahusiano yasiwepo.
  • Mapenzi ni ujinga
  • Mapenzi ni mateso
  • Mapenzi ni maumivu
  • Mapenzi ni utapeli
  • Mapenzi ni uhayawani
  • Mapenzi ni ushen*i
  • Mapenzi ni ufal*a

Mapenzi ni …………… Endeleza lako
We embu tafuta mtu ntombane tu Kila mtu abaki na shida zake
 
Back
Top Bottom