Marco Seth
JF-Expert Member
- Oct 21, 2022
- 4,802
- 5,853
Ni shakwambia Acha hiyo tabia
Sawa 👍🏽wewe unafaa kuliwa tu na sio kupendwq
Angalia hospital ya wagonjwa wa akili iliyo karibu yako uripoti hapo harakaSijaelewa
Dyudyu yangu inaweza kukuzibaNiletee cha kuzibia, nitashukuru mkuu 🙏🏽
Tupe story kamili bwanaNimepatikana aiseeh, mapenzi ni upumbavu tu 💔❤️🩹, 2025 uwe mwaka wa mwisho wa mambo ya kupendana. Kama ni lazima sana, basi tubaki na ngono tu kwa ajili ya kuzaliana ila mahusiano yasiwepo.
- Mapenzi ni ujinga
- Mapenzi ni mateso
- Mapenzi ni maumivu
- Mapenzi ni utapeli
- Mapenzi ni uhayawani
- Mapenzi ni ushen*i
- Mapenzi ni ufal*a
Mapenzi ni …………… Endeleza lako
Nitaendaje akati mm ndio Nawatibu😎Angalia hospital ya wagonjwa wa akili iliyo karibu yako uripoti hapo haraka
Nitaiandikia nyuzi nikitulia, leo acha nilie kwanza 😔 maumivu yapungue.Tupe story kamili bwana
Asante kwa faraja 😇😊🙏🏽Usiseme hivyo my beautiful,nitakuheshimu na kuwa nawe ktk hali zote.Maumivu haya kila mtu ameyapitia ktk Mambo ya mapenzi,ila huwa tunapona dear.Relax
Naomba nikukule mkuuSawa 👍🏽
PoleNitaiandikia nyuzi nikitulia, leo acha nilie kwanza 😔 maumivu yapungue.
Naomba nikukule mkuu
Huwez elewa ndo maan sijaomba kuku kula wewe.Mtu sio chakula
tokea 2011 hadileo unaandika upupu tu? mshenzi wewe
Hapana, sitaki 😔Naomba nikukule mkuu
Asante 🙏🏽Pole
Asante sana 😔😔🙏🏽pole sana hayo ndo mapenzi.