Nimekoma mimi - Why mapenzi bado hayajafutwa?

Nimekoma mimi - Why mapenzi bado hayajafutwa?

Je kupendana ni lazima?

  • Hapana - Mapenzi yafutwe

    Votes: 14 40.0%
  • Ndiyo - Mapenzi yaendelee

    Votes: 23 65.7%

  • Total voters
    35
Chukua mapenzi kama maswali unayopewa kwenye vitabu enzi za sekondari, kila ukimaliza topic kuna maswali..
Hvyo kukosa maswali kwenye topic iliyopita isikufanye uamini kuwa topic ijayo utakosea tena..

MAPENZI NI MATAMU LAKINI MAPENZI NI NYOKO UKIMONG'ONYOKA!
 
Chukua mapenzi kama maswali unayopewa kwenye vitabu enzi za sekondari, kila ukimaliza topic kuna maswali..
Hvyo kukosa maswali kwenye topic iliyopita isikufanye uamini kuwa topic ijayo utakosea tena..

MAPENZI NI MATAMU LAKINI MAPENZI NI NYOKO UKIMONG'ONYOKA!
Daah 💔💔💔
Nifanyaje mapenzi yasiwe tena nyoko kwangu 😔?
 
Nimepatikana aiseeh, mapenzi ni upumbavu tu 💔❤️‍🩹, 2025 uwe mwaka wa mwisho wa mambo ya kupendana.

Kama ni lazima sana, basi tubaki na ngono tu kwa ajili ya kuzaliana ila mahusiano yasiwepo.
  • Mapenzi ni ujinga
  • Mapenzi ni mateso
  • Mapenzi ni maumivu
  • Mapenzi ni utapeli
  • Mapenzi ni uhayawani
  • Mapenzi ni ushen*i
  • Mapenzi ni ufal*a

Mapenzi ni …………… Endeleza lako
Upumbavu wenu watu wawili ndo uje na ujinga eti tuachane?
Mahusiano ni kwa wenye akili tuu na Mungu kasema tuishi na wanawake kwa akili. Msipokuwa na akili tuacheni wenye akili.
 
Upumbavu wenu watu wawili ndo uje na ujinga eti tuachane?
Mahusiano ni kwa wenye akili tuu na Mungu kasema tuishi na wanawake kwa akili. Msipokuwa na akili tuacheni wenye akili.
Kabisa yani Mungu kasema hivyo
Ujue akili ya juu inahitajika
 
Binti wa zamani naandaa tour kwenda vietnam mwez wa nane katikati nikafanye marine tour and diving katika jiji la hanoi pale kuna fukwe ya "phu quoc" na "bai tu" tukirudi akili itakuwa imekukaa sawa sawa! na mapenzi hayatakutesa..
hanoi ni raha jamani hususan "pearl club" sijutii kukaa huko,,,
KARIBU UONJE UTAMU
 
Back
Top Bottom