Nimekoma kumchunguza mpenzi wangu

Nimekoma kumchunguza mpenzi wangu

adden

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
7,033
Reaction score
15,699
Naombeni ushauri wadau,

Karibu wiki sasa nime hack Facebook, Whatsapp ya mpenzi. Awali sikutaka presha ya kujiumiza roho hivyo sikutaka kumfuatilia.

Juzi kati nikajaribu mautundu yangu.. Yesuuuu na Maria. Anachat na wanaume huyo! Sina amani, moyo unaenda mbio kila saa. Najuta kufanya hivyo maana amani yote imepotea.

Nisaidieni wadau nifanyeje maana nampenda kiama.
 
Ungeomba kabla.mi nibadilishana nae simu.nikakuta sms za midume ikimtokea japo haonekani kujibu.sijui kweli ama anafuta
 
Kuna kipindi niliingia kwenye inbox nikakuta inbox iko poa tu kwenye whatsapp hakuna message mbaya nikashusha pumzi kwamba yuko poa mara sms ya kawaida ikaingia imeandikwa "lini nitakutom**a tena?" ebwana alikuwa mwekundu kwa kipigo aisee
 
Hahahahaaa hivyo viumbe visikuumize kichwa bwana hua vinatongozwa sana kama hakupendi dalili utaziona tu but endelea nae tu
 
Hii kitu inauma km jipu.cjawah kuumiaga kmb inauma hv
 
Kaa naye mguu mmoja nje mmoja ndani.usifuatilie simu yake wala mambo ya social media itakusumbua
 
Kuna kipindi niliingia kwenye inbox nikakuta inbox iko poa tu kwenye whatsapp hakuna message mbaya nikashusha pumzi kwamba yuko poa mara sms ya kawaida ikaingia imeandikwa "lini nitakutom**a tena?" ebwana alikuwa mwekundu kwa kipigo aisee
hahahaaaaaaaaaaaa................duuuu, yakwako ndo ilikuwa kali, mi mwenzenu akuuuuuuuuuu, najijua siwezi kumuacha sasa pressure zanini?????
sishiki cm, wala nini akiamua ku cheat a cheat salama, huwezi kuwa nae muda woteee, so take care usirudie maana utapata ugonjwa wa moyo bureeeeeeeeeeeeeh..........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom