Nimekolewa na mke wa mtu jamani

Nimekolewa na mke wa mtu jamani

Kaka, kukolea na kuchepuka ni tofauti bwana. Eboo! Paw akichepuka akitoka huko mbio anakuja na kuku wa kuchoma na dera la secky house of fashion. Ntastuka saa ngapi?
Hapa naona wachangiaji mnampondea mleta mada hivi sie wote tuko safi eeh..kumtishaa tisha namna hiyo ndo nini?
 
Kaka, kukolea na kuchepuka ni tofauti bwana. Eboo! Paw akichepuka akitoka huko mbio anakuja na kuku wa kuchoma na dera la secky house of fashion. Ntastuka saa ngapi?

Akikolea anakuwaje eti?ujue kuna.wataalam wa kuchepuka kila siku..yaani mchepuko endelevu
 
Kumbe eeh! Mbona wewe unanitokea na nshakuambia nina mume? Shoka la kiuno linakuhusu
Hahahahaaaaa, paw ataniona wapi yuko busy kupiga ban wana JF hadi anakuja home yuko hoi hajiwezi? Ila siyo SIRI KUCHAPIWA INAUMA! Yaani huyu jamaa nimesoma thread yake nikahisi nyongo imemwagika mwilini mwangu, waaaaaaaaaaaaaa na mapigo ya moyo yaka-double, adrenaline hormone imeshafanya kazi! We fikiria kababy kako kazuri unakapenda nikajakazito then anatokea mbwakoko anatia najisi hadi mtoto aliyetumboni!! Na anakuja kujitapa hadharani! Yaani ni bora ingekuwa siri yake moyoni, aiseeee!
 
Dawa yenu watu kama ninyi ni kuharibiwa heshima ya makalio tu....
 
Kama kawaida hunter nimeibua mke wa mtu, anavutia huyo, nimemuweka kwe sita kwa sita nikampeleka mwenyewe kakubali shughuli, ki ukweli mtoto wa kike kanikoleza ila tu ana ki mimba kama cha miez miwili, tulipo maliza shughuli akanambia "Lenin ngoja hili tumbo litoke nikupe mamboz kisawa sawa" wadau nisaidien ushauri kakolea nimekolea kaniahd makubwa tumbo likitoka

Jiandae kisaikolojia kufa maana unachezea sumu.
 
Wengi hatujui sheria za bongo zilivyo nzuri. Mwenye mali anaweza kuja na mundu ya kufyekea majani akakata kitendea kazi cha mleta hoja na kutupa halafu akashtakiwa kwa kujeruhi tu. Unaweza kukuta adhabu yake ni faini ya elfu 60 tu lakini kitendea kazi tayari kishaliwa na paka vichakani uko.

Au anatenganisha kabisa kichwa na mwili then utasikia, "kaua bila kukusudia"...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom