Nimekolewa na mke wa mtu jamani

Nimekolewa na mke wa mtu jamani

Nakuomba siku wakikufuma na kukufumua malinda uje utuhadithie pia
 
Huyo mke ni hasara tupu (kama simulizi yako ni ya ukweli).
 
Kama kawaida hunter nimeibua mke wa mtu, anavutia huyo, nimemuweka kwe sita kwa sita nikampeleka mwenyewe kakubali shughuli, ki ukweli mtoto wa kike kanikoleza ila tu ana ki mimba kama cha miez miwili, tulipo maliza shughuli akanambia "Lenin ngoja hili tumbo litoke nikupe mamboz kisawa sawa" wadau nisaidien ushauri kakolea nimekolea kaniahd makubwa tumbo likitoka

Tafuta namna ya kuachana na huyo mke wa mtu, "za mwizi...!" Na itakuwa aibu sana
 
Kama kawaida hunter nimeibua mke wa mtu, anavutia huyo, nimemuweka kwe sita kwa sita nikampeleka mwenyewe kakubali shughuli, ki ukweli mtoto wa kike kanikoleza ila tu ana ki mimba kama cha miez miwili, tulipo maliza shughuli akanambia "Lenin ngoja hili tumbo litoke nikupe mamboz kisawa sawa" wadau nisaidien ushauri kakolea nimekolea kaniahd makubwa tumbo likitoka
Think BIG! You are going to be thinking anyway, so think BIG!
 
Hapa naona wachangiaji mnampondea mleta mada hivi sie wote tuko safi eeh..kumtishaa tisha namna hiyo ndo nini?
 
Back
Top Bottom