Nimekolewa na mke wa mtu jamani

Nimekolewa na mke wa mtu jamani

Kama kawaida hunter nimeibua mke wa mtu, anavutia huyo, nimemuweka kwe sita kwa sita nikampeleka mwenyewe kakubali shughuli, ki ukweli mtoto wa kike kanikoleza ila tu ana ki mimba kama cha miez miwili, tulipo maliza shughuli akanambia "Lenin ngoja hili tumbo litoke nikupe mamboz kisawa sawa" wadau nisaidien ushauri kakolea nimekolea kaniahd makubwa tumbo likitoka
Mweee... ntakukamata tu maana nilishakuhisi kitambo, afadhali umejisema mwizi wangu.
 
akikolea anakuwa anajilamba hehehe.
Ukikolea na mchepuko hukawii kujisahau ukamtwangia simu saa tisa usiku atii.
Ila kuchepuka shida sana, iko kama project ya kutafuta gesi dodoma:wacko:
Haaaaaaaaaaa,, kingasti una mambo.
 
Wasohaya wana mji wao kweli, ivi mwanamme mzima kujisifiaa kuchukua mke wa mtu unadhani ndio uwanaumee eeeh? Pole, na hongera kwa kula makombo....eti kaniahidi mengi puka chakaaa!!!!

K haina makombo...sio Disposable
 
mi choko wa mrembo wa choko.... Sikia mkuu humu dont take every thing serious utaumiza ubongo kutukanana na jiwe, unadhani we mkongwe wapo wanasoma na kukushangaa, si wengine ni mind flick controller ukijichanganya anga zangu nakupaisha mbaya kama hivi unavyohangaika mi shangwe.

hata hujui unachoandika,we unauhakika gani kama hiyo mada ni ya kweli ,go die to hell,huyo mke ulinipa afu machoko mmevamia kwa kasi sana sijui mmelogwa
 
Back
Top Bottom