Mr Beach Boy
JF-Expert Member
- Apr 15, 2021
- 1,702
- 5,115
Nimeenda ofisi ya NHIF Cha ajabu pale reception costumer service mbaya kishenzi, namuelekeza ananiambia short answers,
Nikasema dada mbona una costumer care mbaya hivi anasema kwani wewe unatakaje!
Nikasema nataka hudumu nzuri,
Nikaomba barua ya maoni kabla sijaondoka nikataka kuonana na meneja ili nimchane.
Nakutana na manager ni msaataarbu vibaya mpole amenielekeze mpaka raha, watumishi wa umma, Badilikeni.
Nikasema dada mbona una costumer care mbaya hivi anasema kwani wewe unatakaje!
Nikasema nataka hudumu nzuri,
Nikaomba barua ya maoni kabla sijaondoka nikataka kuonana na meneja ili nimchane.
Nakutana na manager ni msaataarbu vibaya mpole amenielekeze mpaka raha, watumishi wa umma, Badilikeni.