Nimekiwasha NHIF

Nimekiwasha NHIF

Mr Beach Boy

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2021
Posts
1,702
Reaction score
5,115
Nimeenda ofisi ya NHIF Cha ajabu pale reception costumer service mbaya kishenzi, namuelekeza ananiambia short answers,

Nikasema dada mbona una costumer care mbaya hivi anasema kwani wewe unatakaje!

Nikasema nataka hudumu nzuri,
Nikaomba barua ya maoni kabla sijaondoka nikataka kuonana na meneja ili nimchane.

Nakutana na manager ni msaataarbu vibaya mpole amenielekeze mpaka raha, watumishi wa umma, Badilikeni.
 
Nimeenda ofisi ya NHIF Cha ajabu pale reception costumer service mbaya kishenzi, namuelekeza ananiambia short answers,

Nikasema dada mbona una costumer care mbaya hivi anasema kwani wewe unatakaje!

Nikasema nataka hudumu nzuri,
Nikaomba barua ya maoni kabla sijaondoka nikataka kuonana na meneja ili nimchane.

Nakutana na manager ni msaataarbu vibaya mpole amenielekeze mpaka raha, watumishi wa umma, Badilikeni.
HHIF ofisi ipi ?! Karibu ilala nikuhudumie mwanaJF mwezangu
 
Yeah ni kweli NHIF baadhi ya mikoa ina watumishi washamba sana unaenda kistaarabu ila majibu yao yanaweza kuamsha mashetani yako, mi kuna mmoja nilimzingua alitaka anipande kichwani nikamuuliza Hivi wewe unajitambua? Waliokuweka hapa ndo wamekutuma ujibu hivyo watu? Wakati unaomba kazi ulikua mstaarabu umepata kazi sasa umejisahau si ndiyo?

Akapanic nikamwambia sihitaji huduma yako nataka kuonana na kiongozi wa hii ofisi nilizingua baada ya kuondoka kwenye ofisi yao nilivyorudi siku ya pili huduma zikaenda kistaarabu bila usumbufu
 
Nimeenda ofisi ya NHIF Cha ajabu pale reception costumer service mbaya kishenzi, namuelekeza ananiambia short answers,

Nikasema dada mbona una costumer care mbaya hivi anasema kwani wewe unatakaje!

Nikasema nataka hudumu nzuri,
Nikaomba barua ya maoni kabla sijaondoka nikataka kuonana na meneja ili nimchane.

Nakutana na manager ni msaataarbu vibaya mpole amenielekeze mpaka raha, watumishi wa umma, Badilikeni.
Watumishi wa umma hao wa "KASTAMA KERO" unaweza ukawazaba makofi kwa majibu yao na dharau zao.
 
Nimeenda ofisi ya NHIF Cha ajabu pale reception costumer service mbaya kishenzi, namuelekeza ananiambia short answers,

Nikasema dada mbona una costumer care mbaya hivi anasema kwani wewe unatakaje!

Nikasema nataka hudumu nzuri,
Nikaomba barua ya maoni kabla sijaondoka nikataka kuonana na meneja ili nimchane.

Nakutana na manager ni msaataarbu vibaya mpole amenielekeze mpaka raha, watumishi wa umma, Badilikeni.
so, kuhusu yule dada ulimalizana naye vipi? maana ikiwa hujamchana au kumsemea kwa meneja wake basi ataendelea na majibu yake ya ovyo kwa wateja
 
Nimeenda ofisi ya NHIF Cha ajabu pale reception costumer service mbaya kishenzi, namuelekeza ananiambia short answers,

Nikasema dada mbona una costumer care mbaya hivi anasema kwani wewe unatakaje!

Nikasema nataka hudumu nzuri,
Nikaomba barua ya maoni kabla sijaondoka nikataka kuonana na meneja ili nimchane.

Nakutana na manager ni msaataarbu vibaya mpole amenielekeze mpaka raha, watumishi wa umma, Badilikeni.
Hukuacha ata buku la soda
 
Nimeenda ofisi ya NHIF Cha ajabu pale reception costumer service mbaya kishenzi, namuelekeza ananiambia short answers,

Nikasema dada mbona una costumer care mbaya hivi anasema kwani wewe unatakaje!

Nikasema nataka hudumu nzuri,
Nikaomba barua ya maoni kabla sijaondoka nikataka kuonana na meneja ili nimchane.

Nakutana na manager ni msaataarbu vibaya mpole amenielekeze mpaka raha, watumishi wa umma, Badilikeni.
Ukute naye ana access ya kukopa milioni 200 za wanachama
 
wana akili butu, unaweza kudhani umeshinda kumbe wame bloku kadi zako.

Ukienda hospital kitu hakisomi.

Mi nakutanaga sana na shombo kama hizo ila naamua kumuacha tu mbuzi acheze kwenye urefu wa kamba yake. Unakaa kimya tu basi
 
HHIF ofisi ipi ?! Karibu ilala nikuhudumie mwanaJF mwezangu
Leo nimetoka hapo ilala, Kwa kweli mmenikera vibaya mno!
Lazima niseme hampo makini. Picha linaanza nimeenda ofisi zenu za pale Sam Nujoma nikaambiwa hapa hatuwezi kukuhudumia nenda Posta sbb mgonjwa anatokea Muhimbili.
Nikaenda Posta nakutana na Bango ofisi zimehamia ilala.
Hivi ni kweli staff wa NHIF pale Sam Nujoma hajui kama ofisi zimehama??
Anyway nimeenda pale ilala ili nipewe kibali cha dawa, naambiwa middle name ya dependant ni tofauti kwenye birth certificate ya principle na kwenye NHIF Kadi ya dependant.
Nauliza mbona hiyo Kadi ndio amekuwa akiitumia siku zote sasa kwanini kwenye kibali hatambuliki Ila huduma nyingine anapata? Na kwanini mlikubali kumpatia Kadi wakati jina lake lilikuwa tofauti kwenye birth certificate?
Hakuna logic yoyote mnayotoa zaidi ya kutaka majina yafanane 100%.
Sasa tunakuwa tunahudumiwa na watu wasio na common sense, kama hamna uwezo wa kufikiri si bora mngetuwekea robot tujue moja!!!
Mmenikera Sana Kwa kweli!
 
Back
Top Bottom