rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,106
- 18,713
Hadithi yako inatufundisha nini?
Tusiue nyoka. Tukimbizane nao tu mpaka watakapochoka
Hadithi yako inatufundisha nini?
Wapi ni pale Doma au mikumi....Wakuu jana jioni nilipokua narejea home gafla nilikutana na nyoka Koboko kafura katikati ya njia uku kapanua kichwa kimekua kipana kama upawa.
Ghafla akanitokea nduki anakimbia mbaya mbovu uwezi amini tumezungushana mtaani zaidi ya masaa 2 ndio nikampoteza maboya na kurudi home




duuuuh noma sanaWakuu jana jioni nilipokua narejea home gafla nilikutana na nyoka Koboko kafura katikati ya njia uku kapanua kichwa kimekua kipana kama upawa.
Ghafla akanitokea nduki anakimbia mbaya mbovu uwezi amini tumezungushana mtaani zaidi ya masaa 2 ndio nikampoteza maboya na kurudi home