Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,930
- 3,980
taratibu
Nimekuelewa hapo kwenye "sokuna" nadhani ni ka mji huko Japan hahaaUkikasirikaga unaandika kijapani eee😂😂😂
Chochea chochea kuni mama😂Nimekuelewa hapo kwenye "sokuna" nadhani ni ka mji huko Japan hahaa
Ulipotelea wap Boss
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Inavyoonekana, so, wewe so ulikuwa, so, unamnyatia, so uyo baharia kitambo tu
😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅nilijua nimeona mwenyewe huu ushuziSijaona upendo na mshikamano kama jf.just imagine mtu kaandika ushuzi wa njano lakini bado wadau wanamsapot na kumpa pole huu ni upendo wa hali ya juu.
Mhhhhhh shoga angu Hebu tulia kwanza Halafu usimulie polepoleNimehamia mjini so Sina nyumba ya kuishi so kukodi ni lazima nimmeleta na maza ili asiboreke kijijini nyumba ni self tu nzuri ya kawaida so Kuna zenye room mbili yenye kila kitu wanaishi wenye familia kubwa .
Sokuna huyo dad's kaolewa juzi kapata familia yake meaning kajifungua huyo dada anahisi kuwa nipo na jamaa yake Kisa ananisalimia Kwa furaha so shida ipo hapo .
Wanaume za watu Mimi kweli ni na chukiaga kulala nao maana ni nuksi unazuiwa kuoolewa Kwa urahisi ni gunduu sana na wanakufungia kutolewa ni kama shida tu unaitafuta .
Basi aka chukua Uzi wanguo yangu akapeleka Kwa fundi wake akaanza kuniloga basi Kwa maji na chumvi za maombezi na kutonywa kwenye ndoto .
Nikaona huyu mtu ananiletea ushuzi nikakata ukaribu naye.
Basi alianza visa nimeanika nguo aniwekea vizuri na kuniwekea pini zake Tena kwenye nguo ambazo ni nzuri.
Pili anakuja kuniwashia mkaa karibu na dirisha langu.
Sasa mume anagari la kimaskini vibalooni vya kisasa ml 9 hujengi walakufungua biashara ya maana mie nitembee naye kweli ??
Niache watu na hela zao nikatembee na vishoia vinapanga vimezalia kwenye nyumba za wanaume wenzio.
Mi nataka nimfuate nimpigee .
Haiwezekani aniandame hivi Kisa watu wengine ndio wanamzunguka hao ndio wanamla kikulacho kipo nguoni mwake naweza kulalana mume wa mtu kweli???? Tena huyu kapinda kiuno mxiuu kishoia tu Tena kachaga ndugu zake hawajui choo chakukalia wameharibu
😀😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅😅nilijua nimeona mwenyewe huu ushuzi
Mi nimesoma kidogo ikabidi nirudi juu kuangalia mwandishi ni nani. Nilipokuta ni yeye basi nikaondoa u siriaz nikamalizia kusoma 😄Huwa unafurahishaga sana!