Nimekereka Sana Leo

Nimekereka Sana Leo

Dada unaandika kama mtoto wa darasa la pili. KKK
 
Sijaona upendo na mshikamano kama jf.just imagine mtu kaandika ushuzi wa njano lakini bado wadau wanamsapot na kumpa pole huu ni upendo wa hali ya juu.
Tunajitahidi kutumia nafasi zetu kupunguza wimbi la watu kujinyonga.

Kuna watu serious wanahitaji faraja na kutiwa moyo kabla hawajafanya maamuzi magumu.
 
Ishi na watu kwa upendo hata kama wanakuchukia

Life is too short
 
Mama yako ni mpweke kwa sababu hutaki kubadilika. Mtafutie wajukuu itakuwa faraja kwake.
Mama yangu kakosa wajukuu wa watu wawili tu ila anawajukuu 20mpaka Sasa amecheza nao mpaka kachoka .

So Mimi wa mwisho sio mbaya nikileta Kwa muda unaotakiwa
 
Mama yangu kakosa wajukuu wa watu wawili tu ila anawajukuu 20mpaka Sasa amecheza nao mpaka kachoka .

So Mimi wa mwisho sio mbaya nikileta Kwa muda
Macho na matamanio ya mama yako ameyaweka kwako na haridhiki na mienendo yako.
 
Nimekuja kugundua wakati sisi tunachambua sijui huyu dada hana mguu mzuri,hana tako,sjui anakichwa kibaya

Kumbe wakati huo huo na sie tunachambuliwa kutokana na hali zetu za kimaisha,gari analo lakin bado linapondwa!
 
Form 4 mliofanya mtihani wa kumaliza juzi kafanyeni twisheni ya pre form 5 au katafuteni vyuo badala ya kutafuta wachumba! Maisha magumu mjue!
 
Back
Top Bottom