Nimekereka Sana Leo

Nimekereka Sana Leo

Kwaiyo wewe siyo wa kawaida aisee wanawake mlipofikia mmh!
Yes mie sio wakawaida nipo serious kabisa husifikiri nakudanganya eti , nipo serious .

Sipo kama wanawake zenu nipo tofauti kabisa
 
Aisee, sonona is real wakuu.

Dada anahitaji msaada wa haraka apate mume, maana kajitahidi sana ila wadau mnampotezea tu.

Dada wadau wakija pm usiwe mgumu kwenye swala la utelezi sasa sawa.

Wadau mi nshawapigia pande nendeni dm sasa, kila kitu nsharekebisha.
Mie Nina mchumba nimempata tayari ila sio humu ila nimemfungulia jamii forum account yupo humu na huu Uzi ameusoma .
 
Ukweli ni kuwa ulikuwa unamtaka bwana wa mwenzako.

Baada ya kushtukiwa unakasirika na kutafuta visababu vya kujustify madhaifu yake.

Saikolojia tunaiita '

Defensive physiological reactions to rejection'​

Nani amtake kamtu kachagga kanapanga kamekomaa vima"""""tk vinaangaliana Kwa huzuni wanapika njee watu wapo hawajaoa wamejenga wanapesa wametulia utaona tu soon ngoja
 
Unalalama mno babe
FB_IMG_16686018770332006.jpg
 
So sina nyumba..., so kuna zenye room mbili.., so kuna huyo dada kaolewa... Yaani nimechoka na hizo so, so kabla sijamaliza hata kusoma. Ila, samahani, mimi nahisi wewe ndio chanzo cha tatizo kama siyo tatizo lenyewe. Msema kweli mpenzi was Mungu.
Mmh 😀😃😃😃😄😄😄 hivi vijitu vingine shenzi tu nimtake mwenye kuishi nyumba ya mwanaume mwingine ???

Halafu kaoa huyo kachuja eti ameshatumika Tena Kwa Sasa kasha zalisha mtu eti halafu kiuno kimepinda
 
Ukisema mtu utembee na mume wa mtu sio tz watu wanahela sa wa ila ni zamzunguko na zamikopo kibao Sasa akupe Nini za uchuma ulete za damu za watu za ushirikina mara achukue nyota ya Nini mnikome
 
Nimehamia mjini so Sina nyumba ya kuishi so kukodi ni lazima nimmeleta na maza ili asiboreke kijijini nyumba ni self tu nzuri ya kawaida so Kuna zenye room mbili yenye kila kitu wanaishi wenye familia kubwa .

Sokuna huyo dad's kaolewa juzi kapata familia yake meaning kajifungua huyo dada anahisi kuwa nipo na jamaa yake Kisa ananisalimia Kwa furaha so shida ipo hapo .

Wanaume za watu Mimi kweli ni na chukiaga kulala nao maana ni nuksi unazuiwa kuoolewa Kwa urahisi ni gunduu sana na wanakufungia kutolewa ni kama shida tu unaitafuta .

Basi aka chukua Uzi wanguo yangu akapeleka Kwa fundi wake akaanza kuniloga basi Kwa maji na chumvi za maombezi na kutonywa kwenye ndoto .
Nikaona huyu mtu ananiletea ushuzi nikakata ukaribu naye.

Basi alianza visa nimeanika nguo aniwekea vizuri na kuniwekea pini zake Tena kwenye nguo ambazo ni nzuri.

Pili anakuja kuniwashia mkaa karibu na dirisha langu.
Sasa mume anagari la kimaskini vibalooni vya kisasa ml 9 hujengi walakufungua biashara ya maana mie nitembee naye kweli ??


Niache watu na hela zao nikatembee na vishoia vinapanga vimezalia kwenye nyumba za wanaume wenzio.

Mi nataka nimfuate nimpigee .
Haiwezekani aniandame hivi Kisa watu wengine ndio wanamzunguka hao ndio wanamla kikulacho kipo nguoni mwake naweza kulalana mume wa mtu kweli???? Tena huyu kapinda kiuno mxiuu kishoia tu Tena kachaga ndugu zake hawajui choo chakukalia wameharibu
Ukikasirikaga unaandika kijapani eee😂😂😂
 
Ukisema mtu utembee na mume wa mtu sio tz watu wanahela sa wa ila ni zamzunguko na zamikopo kibao Sasa akupe Nini za uchuma ulete za damu za watu za ushirikina mara achukue nyota ya Nini mnikome
Wewe kamanda kwani unauza😂😂😂😂
Asiyekuwa na pesa humvulii chupli?😂
 
Wewe kamanda kwani unauza😂😂😂😂
Asiyekuwa na pesa humvulii chupli?😂
Nope atakuongezea Giza hutoonekana usifikiri unapewa miorsa na matajiri tatizo ukiwa nao nyota Yako inang'aa unaonekana .


Ila hiyo ni zamani saivi mie sijisikii kulalana na hao Wala yeyote kabisa napoteza muda tu
 
Nope atakuongezea Giza hutoonekana usifikiri unapewa miorsa na matajiri tatizo ukiwa nao nyota Yako inang'aa unaonekana .


Ila hiyo ni zamani saivi mie sijisikii kulalana na hao Wala yeyote kabisa napoteza muda tu
Kwani dyudyu haisisimke tena?🤣🤣🤫
 
Nimehamia mjini so Sina nyumba ya kuishi so kukodi ni lazima nimmeleta na maza ili asiboreke kijijini nyumba ni self tu nzuri ya kawaida so Kuna zenye room mbili yenye kila kitu wanaishi wenye familia kubwa .

Sokuna huyo dad's kaolewa juzi kapata familia yake meaning kajifungua huyo dada anahisi kuwa nipo na jamaa yake Kisa ananisalimia Kwa furaha so shida ipo hapo .

Wanaume za watu Mimi kweli ni na chukiaga kulala nao maana ni nuksi unazuiwa kuoolewa Kwa urahisi ni gunduu sana na wanakufungia kutolewa ni kama shida tu unaitafuta .

Basi aka chukua Uzi wanguo yangu akapeleka Kwa fundi wake akaanza kuniloga basi Kwa maji na chumvi za maombezi na kutonywa kwenye ndoto .
Nikaona huyu mtu ananiletea ushuzi nikakata ukaribu naye.

Basi alianza visa nimeanika nguo aniwekea vizuri na kuniwekea pini zake Tena kwenye nguo ambazo ni nzuri.

Pili anakuja kuniwashia mkaa karibu na dirisha langu.
Sasa mume anagari la kimaskini vibalooni vya kisasa ml 9 hujengi walakufungua biashara ya maana mie nitembee naye kweli ??


Niache watu na hela zao nikatembee na vishoia vinapanga vimezalia kwenye nyumba za wanaume wenzio.

Mi nataka nimfuate nimpigee .
Haiwezekani aniandame hivi Kisa watu wengine ndio wanamzunguka hao ndio wanamla kikulacho kipo nguoni mwake naweza kulalana mume wa mtu kweli???? Tena huyu kapinda kiuno mxiuu kishoia tu Tena kachaga ndugu zake hawajui choo chakukalia wameharibu
Florida,umelewa?Mbona haueleweki?Halafu,punguza hizo "so"!Zimekuwa monotonous!
 
Mh aisee, ila nakushauri usipigane basi, mengine sijaelewa pamoja na kujitahidi kusoma mara 2.

Sent using Jamii Forums mobile app
Poa ndio uandishi wawatu wengine ila kama mtu anaamua kukuchokoza kwenye kamba kwenye dirisha lako kwenye kila kitu silazima upigane heshima iwepo Sasa unapangiwaje nguo zako ulizozianika??
 
Back
Top Bottom