Nimekereka Sana Leo

Nimekereka Sana Leo

Nimehamia mjini so Sina nyumba ya kuishi so kukodi ni lazima nimmeleta na maza ili asiboreke kijijini nyumba ni self tu nzuri ya kawaida so Kuna zenye room mbili yenye kila kitu wanaishi wenye familia kubwa .

Sokuna huyo dad's kaolewa juzi kapata familia yake meaning kajifungua huyo dada anahisi kuwa nipo na jamaa yake Kisa ananisalimia Kwa furaha so shida ipo hapo .

Wanaume za watu Mimi kweli ni na chukiaga kulala nao maana ni nuksi unazuiwa kuoolewa Kwa urahisi ni gunduu sana na wanakufungia kutolewa ni kama shida tu unaitafuta .

Basi aka chukua Uzi wanguo yangu akapeleka Kwa fundi wake akaanza kuniloga basi Kwa maji na chumvi za maombezi na kutonywa kwenye ndoto .
Nikaona huyu mtu ananiletea ushuzi nikakata ukaribu naye.

Basi alianza visa nimeanika nguo aniwekea vizuri na kuniwekea pini zake Tena kwenye nguo ambazo ni nzuri.

Pili anakuja kuniwashia mkaa karibu na dirisha langu.
Sasa mume anagari la kimaskini vibalooni vya kisasa ml 9 hujengi walakufungua biashara ya maana mie nitembee naye kweli ??


Niache watu na hela zao nikatembee na vishoia vinapanga vimezalia kwenye nyumba za wanaume wenzio.

Mi nataka nimfuate nimpigee .
Haiwezekani aniandame hivi Kisa watu wengine ndio wanamzunguka hao ndio wanamla kikulacho kipo nguoni mwake naweza kulalana mume wa mtu kweli???? Tena huyu kapinda kiuno mxiuu kishoia tu Tena kachaga ndugu zake hawajui choo chakukalia wameharibu
Aliyekufundisha kunywa master spirit akamatwe na kuwekwa ndani
 
Poa ndio uandishi wawatu wengine ila kama mtu anaamua kukuchokoza kwenye kamba kwenye dirisha lako kwenye kila kitu silazima upigane heshima iwepo Sasa unapangiwaje nguo zako ulizozianika??
Kupigana, kutukanana hata kufanya kisasi sio solution kabisa. Ukimya ni jibu tosha kabisa kwa mjinga wewe angalia namna tuu ambayo unaweza kumuepuka chokozi zake bila kureact. Heshima haiji kwa kupigana na kutukanana bali inabomolewa mno. Hapo utakuwa more matured mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimehamia mjini so Sina nyumba ya kuishi so kukodi ni lazima nimmeleta na maza ili asiboreke kijijini nyumba ni self tu nzuri ya kawaida so Kuna zenye room mbili yenye kila kitu wanaishi wenye familia kubwa .

Sokuna huyo dad's kaolewa juzi kapata familia yake meaning kajifungua huyo dada anahisi kuwa nipo na jamaa yake Kisa ananisalimia Kwa furaha so shida ipo hapo .

Wanaume za watu Mimi kweli ni na chukiaga kulala nao maana ni nuksi unazuiwa kuoolewa Kwa urahisi ni gunduu sana na wanakufungia kutolewa ni kama shida tu unaitafuta .

Basi aka chukua Uzi wanguo yangu akapeleka Kwa fundi wake akaanza kuniloga basi Kwa maji na chumvi za maombezi na kutonywa kwenye ndoto .
Nikaona huyu mtu ananiletea ushuzi nikakata ukaribu naye.

Basi alianza visa nimeanika nguo aniwekea vizuri na kuniwekea pini zake Tena kwenye nguo ambazo ni nzuri.

Pili anakuja kuniwashia mkaa karibu na dirisha langu.
Sasa mume anagari la kimaskini vibalooni vya kisasa ml 9 hujengi walakufungua biashara ya maana mie nitembee naye kweli ??


Niache watu na hela zao nikatembee na vishoia vinapanga vimezalia kwenye nyumba za wanaume wenzio.

Mi nataka nimfuate nimpigee .
Haiwezekani aniandame hivi Kisa watu wengine ndio wanamzunguka hao ndio wanamla kikulacho kipo nguoni mwake naweza kulalana mume wa mtu kweli???? Tena huyu kapinda kiuno mxiuu kishoia tu Tena kachaga ndugu zake hawajui choo chakukalia wameharibu
Punguzeni ulevi wa stress zisizo za lazima ili unapoandika uzi ueleweke
 
Umenikumbusha mchepuko wangu mmoja aliposhtukiwa na mke wangu akaanza kutukana, eti kwanza huyo mwanaume wako maskini nitembee naye wa nini, na matusi mengine mengi.....
Mkishtukiwa acheni matusi, jua wewe hapo kama mchepuko huna haki zaidi ya mke maalum, upo tu mpeane mautamu na huyo mume wa mtu.
 
Nimehamia mjini so Sina nyumba ya kuishi so kukodi ni lazima nimmeleta na maza ili asiboreke kijijini nyumba ni self tu nzuri ya kawaida so Kuna zenye room mbili yenye kila kitu wanaishi wenye familia kubwa .

Sokuna huyo dad's kaolewa juzi kapata familia yake meaning kajifungua huyo dada anahisi kuwa nipo na jamaa yake Kisa ananisalimia Kwa furaha so shida ipo hapo .

Wanaume za watu Mimi kweli ni na chukiaga kulala nao maana ni nuksi unazuiwa kuoolewa Kwa urahisi ni gunduu sana na wanakufungia kutolewa ni kama shida tu unaitafuta .

Basi aka chukua Uzi wanguo yangu akapeleka Kwa fundi wake akaanza kuniloga basi Kwa maji na chumvi za maombezi na kutonywa kwenye ndoto .
Nikaona huyu mtu ananiletea ushuzi nikakata ukaribu naye.

Basi alianza visa nimeanika nguo aniwekea vizuri na kuniwekea pini zake Tena kwenye nguo ambazo ni nzuri.

Pili anakuja kuniwashia mkaa karibu na dirisha langu.
Sasa mume anagari la kimaskini vibalooni vya kisasa ml 9 hujengi walakufungua biashara ya maana mie nitembee naye kweli ??


Niache watu na hela zao nikatembee na vishoia vinapanga vimezalia kwenye nyumba za wanaume wenzio.

Mi nataka nimfuate nimpigee .
Haiwezekani aniandame hivi Kisa watu wengine ndio wanamzunguka hao ndio wanamla kikulacho kipo nguoni mwake naweza kulalana mume wa mtu kweli???? Tena huyu kapinda kiuno mxiuu kishoia tu Tena kachaga ndugu zake hawajui choo chakukalia wameharibu
akaanza kuniloga ...
 
Nimehamia mjini so Sina nyumba ya kuishi so kukodi ni lazima nimmeleta na maza ili asiboreke kijijini nyumba ni self tu nzuri ya kawaida so Kuna zenye room mbili yenye kila kitu wanaishi wenye familia kubwa .

Sokuna huyo dad's kaolewa juzi kapata familia yake meaning kajifungua huyo dada anahisi kuwa nipo na jamaa yake Kisa ananisalimia Kwa furaha so shida ipo hapo .

Wanaume za watu Mimi kweli ni na chukiaga kulala nao maana ni nuksi unazuiwa kuoolewa Kwa urahisi ni gunduu sana na wanakufungia kutolewa ni kama shida tu unaitafuta .

Basi aka chukua Uzi wanguo yangu akapeleka Kwa fundi wake akaanza kuniloga basi Kwa maji na chumvi za maombezi na kutonywa kwenye ndoto .
Nikaona huyu mtu ananiletea ushuzi nikakata ukaribu naye.

Basi alianza visa nimeanika nguo aniwekea vizuri na kuniwekea pini zake Tena kwenye nguo ambazo ni nzuri.

Pili anakuja kuniwashia mkaa karibu na dirisha langu.
Sasa mume anagari la kimaskini vibalooni vya kisasa ml 9 hujengi walakufungua biashara ya maana mie nitembee naye kweli ??


Niache watu na hela zao nikatembee na vishoia vinapanga vimezalia kwenye nyumba za wanaume wenzio.

Mi nataka nimfuate nimpigee .
Haiwezekani aniandame hivi Kisa watu wengine ndio wanamzunguka hao ndio wanamla kikulacho kipo nguoni mwake naweza kulalana mume wa mtu kweli???? Tena huyu kapinda kiuno mxiuu kishoia tu Tena kachaga ndugu zake hawajui choo chakukalia wameharibu

Madhara ya Mwanamke kutobinywa tako,kutonyunyiziwa mbolea(sperm) na kulambwa papuchi

Ili kuponya afya ya akili na genye tafuta mtaalam tafadhali
 
Si useme tu kua umeshtukiwa na mwenye mali yake? unazungusha maneno unafikiri humu sisi wote ni hamnazo kama ulivyo wewe?
 
Nimehamia mjini so Sina nyumba ya kuishi so kukodi ni lazima nimmeleta na maza ili asiboreke kijijini nyumba ni self tu nzuri ya kawaida so Kuna zenye room mbili yenye kila kitu wanaishi wenye familia kubwa .

Sokuna huyo dad's kaolewa juzi kapata familia yake meaning kajifungua huyo dada anahisi kuwa nipo na jamaa yake Kisa ananisalimia Kwa furaha so shida ipo hapo .

Wanaume za watu Mimi kweli ni na chukiaga kulala nao maana ni nuksi unazuiwa kuoolewa Kwa urahisi ni gunduu sana na wanakufungia kutolewa ni kama shida tu unaitafuta .

Basi aka chukua Uzi wanguo yangu akapeleka Kwa fundi wake akaanza kuniloga basi Kwa maji na chumvi za maombezi na kutonywa kwenye ndoto .
Nikaona huyu mtu ananiletea ushuzi nikakata ukaribu naye.

Basi alianza visa nimeanika nguo aniwekea vizuri na kuniwekea pini zake Tena kwenye nguo ambazo ni nzuri.

Pili anakuja kuniwashia mkaa karibu na dirisha langu.
Sasa mume anagari la kimaskini vibalooni vya kisasa ml 9 hujengi walakufungua biashara ya maana mie nitembee naye kweli ??


Niache watu na hela zao nikatembee na vishoia vinapanga vimezalia kwenye nyumba za wanaume wenzio.

Mi nataka nimfuate nimpigee .
Haiwezekani aniandame hivi Kisa watu wengine ndio wanamzunguka hao ndio wanamla kikulacho kipo nguoni mwake naweza kulalana mume wa mtu kweli???? Tena huyu kapinda kiuno mxiuu kishoia tu Tena kachaga ndugu zake hawajui choo chakukalia wameharibu
Full stress, akili zimehamia kwa mume wa mtu hata kuandika umeshindwa. Huyo dada akaze hapohapo wanawake badala ya kutafuta wako unajinyegesha kwa jirani.
 
Mbona kuna kipindi ulikuwa unaheshimika sana umepatwa na nini? Umeandika nini hii?
 
Back
Top Bottom