kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 10,521
- 17,450
hahahah sasa
TV ilimkosea nini aisee?
Mkuu kulya wasikiage tu[emoji23][emoji23][emoji23]
hahahah sasa
TV ilimkosea nini aisee?
Ukipata mwanamke aliyekulia mazingira ya Tarime kwenyewe halafu ukawa legelege watasema umepewa limbwata. Wanawake kule wanapenda angalau kila baada ya muda unashtua kidogo, hiyo ni ishara ya upendo.
Heee[emoji849][emoji849] yamekua hv tena[emoji43][emoji43][emoji43]Vizuri sana....ukome kabisa
Pumbavu kabisa,unaacha wanawake wazuri wa kwenu,tena wana heshima zao unakambilia makabila hata huyajui wala hayakufahamu,eti unataka kuoa huko!
Hivi hii mitoto itakuja kua na akili lini?
Hizo ni laana za wadada wa Kijita ulio wadharau as if wao ni matakataka that are not good enough for you mpaka uende kuoa wengine
Usiniletee upumbavu eti wa "mapenzi"....ooh "tulipendana sana"...na bla bla zingine za kipumbavu,hakuna hicho
Ni jukumu lako kuwapenda wanawake wa kwenu na kuhakikisha they are taken care of,and you commit to them long term in life
SAFI SANA,tena huyo mzee angekaa na bastola getini kwake,ukitokea tu apige risasi ya matako kabisa...mwanaume gani punguani na bure namna hii linakimbia majukumu ya kwao?
Pumbavu kabisa,huna maana....hao wadada wa Kijita na wakuloge kabisa mpumbavu wewe!
Wadada wazuri na wana heshima sana,wamekulea mpumbavu wewe,eti leo unatanua mitako unaenda kuoa watu hata hawataki kukuona kivuli chako,bure kabisa yaani!
Nimechukia sana leo mamaeee
, kuua wake zenu ni kawaida sana, kukatana mboo na visu ni moja ya ujasiri wenu, nani atakubali mwanawe aolewe na mtu wa Musoma? Oaneni wenuewe kwa wenyewe kwani mmezoea mikiki ya ndoa.
😂😂😂😂 Kunywa mma hasira zipungue🤣🤣🤣🤣Vizuri sana....ukome kabisa
Pumbavu kabisa,unaacha wanawake wazuri wa kwenu,tena wana heshima zao unakambilia makabila hata huyajui wala hayakufahamu,eti unataka kuoa huko!
Hivi hii mitoto itakuja kua na akili lini?
Hizo ni laana za wadada wa Kijita ulio wadharau as if wao ni matakataka that are not good enough for you mpaka uende kuoa wengine
Usiniletee upumbavu eti wa "mapenzi"....ooh "tulipendana sana"...na bla bla zingine za kipumbavu,hakuna hicho
Ni jukumu lako kuwapenda wanawake wa kwenu na kuhakikisha they are taken care of,and you commit to them long term in life
SAFI SANA,tena huyo mzee angekaa na bastola getini kwake,ukitokea tu apige risasi ya matako kabisa...mwanaume gani punguani na bure namna hii linakimbia majukumu ya kwao?
Pumbavu kabisa,huna maana....hao wadada wa Kijita na wakuloge kabisa mpumbavu wewe!
Wadada wazuri na wana heshima sana,wamekulea mpumbavu wewe,eti leo unatanua mitako unaenda kuoa watu hata hawataki kukuona kivuli chako,bure kabisa yaani!
Nimechukia sana leo mamaeee
Simuombei mchumba wangu yamkute haya, ila wakati mwingine wazazi/ndugu huharibu muelekeo wa maisha ya watoto wao bila kujuaNdugu yangu nae familia ilimgomea katu katu kuolewa na mtu wa kanda yako....saivi ana watoto watatu baba watoto alie mpata tofauti na yule yupo yupo anasema bado hajawa tayari kuwa na familia.....
Usilazimishe maji kupanda mlima...waachie binti yako...usije ishi ndoa isiyo kuwa na baraka za wazazi
Kutokuoa kabila lako sio kwamba umewadharau, unazeeka vibaya jamaa.Ngoja nikanywe maana nimechafukwa na hili mtu...
Sipendi jitu linadharau wa kwao namna hiyo aiseee..ni dharau kubwa sana...na huyo mzee angepiga risasi kabisa hii takataka
njia zipo na lazima umpate ila kikubwa njoo nyumban musoma tuonanee home boy ukifika tu kesho kesho unamchukua buree hata pasipo mahalii mi npo tarime.Hi kitu imeniuma sana wakuu, sikutegemea Karne hi bado kuna ubaguzi wa aina hii.
Iko hivi, nimempata binti wa kibena tumependana na tukakubaliana tuoane, kimbembe ni pale alipowapa taarifa nyumbani kwao kuwa kapata mchumba mjita wa Musoma.
Walivyosikia tu Musoma wakaitisha kikao Cha familia na kukataa katakata kuwa binti yao hawezi olewa Musoma. Sababu zao ni
1. Musoma ni mbali na kwao(Njombe). Ikumbukwe mm na binti wore tunaishi Dar es Salaam
2. Watu wa Musoma ni wakatili sana
Wakuu, kusema kweli kutoka moyoni mwangu nampenda sana huyu binti, sijui nitumie njia gani kupindua meza maana kwa Hali ilivyo yeye binafsi ni Kama anaelekea kuwatii ndugu zake(Yuko dilemma)
Naombeni mnishauri, nifanyeje au nitumie njia gani ili kuweza kumuoa huyu binti.
Ahsanteni.
Siku wazinzi na watangaza nia ni wakwe?Hi kitu imeniuma sana wakuu, sikutegemea Karne hi bado kuna ubaguzi wa aina hii.
Iko hivi, nimempata binti wa kibena tumependana na tukakubaliana tuoane, kimbembe ni pale alipowapa taarifa nyumbani kwao kuwa kapata mchumba mjita wa Musoma.
Walivyosikia tu Musoma wakaitisha kikao Cha familia na kukataa katakata kuwa binti yao hawezi olewa Musoma. Sababu zao ni
1. Musoma ni mbali na kwao(Njombe). Ikumbukwe mm na binti wore tunaishi Dar es Salaam
2. Watu wa Musoma ni wakatili sana
Wakuu, kusema kweli kutoka moyoni mwangu nampenda sana huyu binti, sijui nitumie njia gani kupindua meza maana kwa Hali ilivyo yeye binafsi ni Kama anaelekea kuwatii ndugu zake(Yuko dilemma)
Naombeni mnishauri, nifanyeje au nitumie njia gani ili kuweza kumuoa huyu binti.
Ahsanteni.
Nenda nyumbani kwao peleka kishika uchumba na zawadi ya gari kwa baba mkwe, akikataa rudi hapa nikupe ushauri zaidiHi kitu imeniuma sana wakuu, sikutegemea Karne hi bado kuna ubaguzi wa aina hii.
Iko hivi, nimempata binti wa kibena tumependana na tukakubaliana tuoane, kimbembe ni pale alipowapa taarifa nyumbani kwao kuwa kapata mchumba mjita wa Musoma.
Walivyosikia tu Musoma wakaitisha kikao Cha familia na kukataa katakata kuwa binti yao hawezi olewa Musoma. Sababu zao ni
1. Musoma ni mbali na kwao(Njombe). Ikumbukwe mm na binti wore tunaishi Dar es Salaam
2. Watu wa Musoma ni wakatili sana
Wakuu, kusema kweli kutoka moyoni mwangu nampenda sana huyu binti, sijui nitumie njia gani kupindua meza maana kwa Hali ilivyo yeye binafsi ni Kama anaelekea kuwatii ndugu zake(Yuko dilemma)
Naombeni mnishauri, nifanyeje au nitumie njia gani ili kuweza kumuoa huyu binti.
Ahsanteni.
Ni ukweli mtupu, yaani ndugu wanavyopenda kuingilia ndoa za watoto wao ndugu zao na ikiwa kaoa kabila nyingine kweli hao wazazi nawapongeza sanaNi kwwli usemayo mkuu. Tunachanja sana. Wajita wametuzidi uchawi na umbea, wanaongea hao. Ukigombana na mke/mume mjita utafikiri umeweka flash disk ya 2TB iliyojazwa taarabu za audio.