Nimekataliwa kuoa kisa mimi mwislam

Nimekataliwa kuoa kisa mimi mwislam

Yote hayo yanasababishwa na kina PONDA! mpaka mnaonekana ni magaidi! Dah pole sana kamanda kwa kumkosa mkee tafuta ostadhati mwenzako ok! kama vp Badili dini katika kweli na roho Utaokoka!
 
WW SILIMISHA OA ONGEZA IDDI YA WAISILMU TZ WAZAZI IPO SIKU WATAKUTAFUTA KAMA UNAMALENGO MAZURI NA MWANAO MAKAFIRI WANAHUKUMU KILA MUISILMU HIO NDIO CHUKI YAO IMEBAINISHWA WAZI KTK QURAAN:target:
 
Pole sana inawezekana wazee wa huyo binti ni wahanga wa kuchomwa kwa makanisa jamani
tafuteni amani mpate radhi ya wazazi msilazimishe itawagharimu baadae
 
Kama unampenda kweli kwanini usibadili dini wewe?! acheni kupenda mteremko!! kama vipi tafuta kwenye masjid au madrassat
 
kimsingi ww ndo ubadili dini maana unaonesha unataka kuongeza idadi ya waislam tunawajua ndo mpango wenu kama kwel ww ndo ubadili dini na hii tabia mmeianzisha nyie maana huwa mabinti zenu mnalazimisha na wanaume wabadili dini ili waweze kuowana sasa kama umependa kubali kusuka vinginevyo utalishwa kiti fire hadi basi
 
Nyie waislamu mnawaita wakristu makafiri, unataka kumchukua binti yao na kumbadilisha dini na huku wazazi wake ukiwaita kafiri. cha msingi ni wewe kuwa mkristu na ubatizwe ndio wakupe binti.
 
pole sana yote kumi jaribu kuwashawishi uone kama watakubali.
 
si uoe waislamu wenzio au hakuna wanawake wa kiislamu wa kuoa
 
kimtazamo wa imani yoyote (hasa kama wewe unaishika imani ya dini yako) utagundua kwamba ni haiwezekani kufunga ndoa na mtu ambaye si wa imani moja na wewe. Na nijuavyo ukio asiye mwislam mwenzio ikifika mwezi wa RAMADHAN utamwacha tu maana atakuwa hana sifa za kukuandalia futuru, labda awe amebadilisha na kuwa mwislam!

Niseme ni mambo ya ki-siku hizi lakini maandiko ambayo nimeyasoma mara kadhaa hasa ya Biblia ambayo nadhani ndiyo imani ya mwenzio, hayaruhusu kufunga ndoa na (nira) na mtu ambaye mna imani tofauti....

Ushauri ni kwamba ili muishi vema mmoja wenu aruke mpaka wa imani na kuifuata ya mwenzie....
 
Siku za nyuma waislamu kuoleana na wakristo ilikuwa ni jambo la kawaida japokuwa baadhi yao walikuwa hawakubaliani nalo moja kwa moja. Ila kwa sasa imekuwa ngumu zaidi na hatari hasa kwa mkristo kwenda kwa mwislamu (Hapa naongelea hasa wa kike) kwani katika jamii ya sasa ndugu zetu waislamu wamebadilika na kuonekana kama wanga wa mchana kwa watu ambao si wa imani yao na kuhatarisha maisha yao. Hivyo basi kwa upande mwingine naweza kusema kuwa wazazi hao wa huyo binti wanazo sababu za msingi kumkatalia binti yao.
Ni maoni yangu tu kutokana na hali halisi iliyopo.
 
Siku za nyuma waislamu kuoleana na wakristo ilikuwa ni jambo la kawaida japokuwa baadhi yao walikuwa hawakubaliani nalo moja kwa moja. Ila kwa sasa imekuwa ngumu zaidi na hatari hasa kwa mkristo kwenda kwa mwislamu (Hapa naongelea hasa wa kike) kwani katika jamii ya sasa ndugu zetu waislamu wamebadilika na kuonekana kama wanga wa mchana kwa watu ambao si wa imani yao na kuhatarisha maisha yao. Hivyo basi kwa upande mwingine naweza kusema kuwa wazazi hao wa huyo binti wanazo sababu za msingi kumkatalia binti yao.
Ni maoni yangu tu kutokana na hali halisi iliyopo.

Ndugu yangu kuwa makini na maneno yako mkubwa, kwenye mitandao kama hii ya kijamii ni hatari sana kuandika maneno ya kejeli na chuki kuhusiana na imani za watu humu.

Sasa tukija hapo kwenye red kwa mfano tu, samahani lakini kwa haya ninayoandika hapa......Hivi kule Europe Anglican walipokubali Ushoga, nitakuwa sahihi kweli nitakaposema Waumini wote wa Anglican ni Mashoga??..........Narudia tena samahani kwa haya niliyoandika hapa......

Tafadhali mkubwa, Usituhusishe Waislam na vikundi vya watu wachache wanaoleta uvunjifu wa amani katika nchi hii, Uislama ni dini ya Amani bwana.

Kuwa makini brother......
 
Wakati mwingine huwa nashangaa mtu mpaka anapata degree eti bado mwislam

Unaweza ukanipa sababu zozote mkuu ambazo kwa uelewa wako unaona zinafaa kumfanya Muislam asistahili kupata degree?
 
cha msingi endelea naye kama girlfriend na boyfriend kisha mpige kibend hapo wazazi watalegea na kutoa baraka zote zingatia
 
Back
Top Bottom