Mkuu wakati wenyewe mmekubaliana songeni mbele msirudi nyuma, wazazi hawana haki hiyo kidini na kidunia.Sasa kama mtu amesha silimu sasa wataka umuache njiani? Utakuwa umefanya kosa kidini. Kwa vile amesha silimu basi wewe unahaki zaidi kuliko wao.katika uislamu udugu wa imani ndio wenye nguvu zaidi kuliko udugu wa damu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.