Nimekataliwa kuoa kisa mimi mwislam

Nimekataliwa kuoa kisa mimi mwislam

Waungwana nisaidieni, nimekataliwa kuoa kisa mimi mwislam, wakwe wanasema sifa zooote ninazo ila dini yangu eti sisi wengi wetu ni magaidi, bibie yeye yuko radhi tufunge ndoa bila ridhaa ya wazazi ila mimi naona haiwezekani hususan kwa tuhuma hii ya kidini, sasa wanajamii mnanishauri nini na upande wa dini je inaswihi ndoa ya ilofungwa bila ridhaa ya wazazi,, habari hii si ya kubuni hivyo naomba muelewe hivyo

Achana nae,
Tafuta mwenye imani kama yako,usije msumbua dada wa watu
au yeye kukusumbua hapo baadae.

Mnaunganisha spirits,kama hamfanani kiimani,hamfanani kabisa
kufunga ndoa. Wazazi wako sahihi
 
huu ni uzushi suala la kidini halijafikia mahali unapofikiria pengine wamekuona hueleweki hapo watakuwa na sababu za kukutosa .ingekuwa somalia au nchi nyingine zenye kuendeshwa kwa misingi ya dini ningekuelewa .
 
Shukuru umekataliwa kabla ya kuoa, wangeweza kukukubalia kuoa na kukuletea vituko wakati mshaoana na mna watoto.

Kama mnajali sana mambo ya wazazi, utamaduni etc, anza na katafute kwingine.

Kama hamjali, mnaweza kuamua muoane wawili muwapotezee.
 
Hayatuhusu. This is your private business.
Hapana ulichokiandika sicho,,,,,ana haki kama ulivyokuwa nayo wewe ya kuandika ulichokiandika
JF ni sehemu ya kuelimishana kubadirishana mawazo kupata marafiki au kutoa msongo wa mawazo yaliyo ndani ya uwezo wa kifamilia au nje ya uwezo wa kifamilia ikiwa dhaili au shaili kama utapenda
(Tuchunge ndimi zetu hii ni 2013)
 
Ndio maana naweepushia adha ya harufu ya nguruwe, au nafanya makosa????? LOL
Safi sana, yani we ukiwa umeamua kuwapa wape tu bila ya dende...wawe wanatafuna matiti tu na mashavu wasisogelee mdomo, matiti ndo kila kitu mimi nayaita :A S-rose:
 
Waungwana nisaidieni, nimekataliwa kuoa kisa mimi mwislam, wakwe wanasema sifa zooote ninazo ila dini yangu eti sisi wengi wetu ni magaidi, bibie yeye yuko radhi tufunge ndoa bila ridhaa ya wazazi ila mimi naona haiwezekani hususan kwa tuhuma hii ya kidini, sasa wanajamii mnanishauri nini na upande wa dini je inaswihi ndoa ya ilofungwa bila ridhaa ya wazazi,, habari hii si ya kubuni hivyo naomba muelewe hivyo

1. Kama umri wako na mwenza wako mtarajiwa si chini ya miaka 18
2. Kama mnapendana na kuheshimiana kwa dhati
3. Basi tofauti zingine mnaweza kuzimaliza kadiri muda unavyokwenda.
4. Ukitaka kuoa unaweza kupigwa vita na baadhi ya ndugu zako au ndugu mke/mume mtarajiwa.
5. Moja ya vitu ambavyo watarajiwa wanaweza kujikuta ndugu zao wahakubaliana nacho ni kipengele cha dini. Kuna baadhi wanabadirisha dini ili kufanya upande mwingine uridhie.
6(a) Nakushauri kama nia yako ni njema kabisa (maana wengine wanaoa kumbadilisha mwenzi wao dini hata kama mwanzoni watasema kila mmoja yuko free kuabudu katika dini anayoifuata). Nadhani Mwislamu akimwoa Mkristo huwa inaishia Mkristo kuwa Mwislamu. Kuna baadhi ya madhehebu ya dini kama Wakatoliki wanaruhusu ndoa za mseto (kila mtu kubaki kwenye imani yake) lakini pia baadhi ya wanandoa kwa sababu ya kutoelewa vizuri imani yao huwa wanaishia kumlazimisha mwenzao kuhama dini au kukubali ndoa iishe. Hawa ni wa kuonea huruma.
(b) Tumia watu wengine (influential na wenye maadili na uelewa mzuri wa dini) ili waongee na wakwe zako
(c) Ikishindikana - amueni nyinyi wawili cha kufanya.
 
Waungwana nisaidieni, nimekataliwa kuoa kisa mimi mwislam, wakwe wanasema sifa zooote ninazo ila dini yangu eti sisi wengi wetu ni magaidi, bibie yeye yuko radhi tufunge ndoa bila ridhaa ya wazazi ila mimi naona haiwezekani hususan kwa tuhuma hii ya kidini, sasa wanajamii mnanishauri nini na upande wa dini je inaswihi ndoa ya ilofungwa bila ridhaa ya wazazi,, habari hii si ya kubuni hivyo naomba muelewe hivyo
Badili dini...
 
Nakuomba badili dini au oa muislamu mwenzako
kwani mpango wenu ni kuwazalisha watoto wa kikristo na kuwapa majina ya kiislamu ili muonekane mko wengi,kisha mnatoa taraka na kuoa mwingine kwani imani yenu inaruhusu
uislamu pia unakua kwa njia ya kuwazalisha watu kwa mgongo wa ndoa,
hakuna uhusiano kati ya nuru na giza,
 
Seepa Mbona Nasi Tunao Madem Wazuri Tena Wanaojiheshimu Kuzidi Huyo Wa Wazazi Mambwiga?
Sepa Kamanda Langu!
wee mbwiga sana, unafikiri ni kirahisi hivyo? Jamaa anahitaji ushauri wa maana, kadata anahitaji jinsi gani alimiliki jiko lilomkuna wewe unamwambia asepe! Kama rahisi hivyo usingemuona hapa.
 
Ulienda na ndevu kama fagio la chelewa nini?Halafu utakuwa na sigida yaani na kuvaa barakashia kote huja pata mke???Kweli uislam ni janga wanaogopa mtoto wao utaenda kumvalisha maninja!
 
Umekosea. Ungemtia mimba kwanza.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
::
Ni dini gani ipo sahihi mbele yake Mwenyezi Mungu ni siri ya Mungu mwenyewe.
Dini tumezikuta kama tulivyoikuta dunia na tutaziacha.
::
Kuna wakati unahitaji kusikiliza UPENDO wenu unasema nini.
Ukiwapa jawabu tofauti basi usilazimishe usijepata matatizo.Inawezekana kakupenda kwa dhati,ila lazima upitie vipimo vya upendo wako kwake.
::
Pia tutafute jibu la swali hili,unaoa dini? Au mtu mnaendana?
=
 
Tafuta mwisilamu uoe
daaah hivi unafikiri kutafuta mwenzi wa maisha ni kama vile kitu kirahisi...watu wanasali makanisani...etc...just to meet that one person..but mostly end up meeting the wrong person..safari ya kutafuta mwenza sio rahisi..jombaa..amin hivyo...
 
nendeni mkafunge ndoa kiserikali kila mtu anabaki upande wake
 
Waungwana nisaidieni, nimekataliwa kuoa kisa mimi mwislam, wakwe wanasema sifa zooote ninazo ila dini yangu eti sisi wengi wetu ni magaidi, bibie yeye yuko radhi tufunge ndoa bila ridhaa ya wazazi ila mimi naona haiwezekani hususan kwa tuhuma hii ya kidini, sasa wanajamii mnanishauri nini na upande wa dini je inaswihi ndoa ya ilofungwa bila ridhaa ya wazazi,, habari hii si ya kubuni hivyo naomba muelewe hivyo

Wazazi wasingependa umtafutie mtoto wao mke wa pili so badili wewe uwe Mkristo uchukue mke otherwise mabinti wa kiislam wengi tu
 
Safi sana mana ukitaka kukashifu dini ya Mungu, unatengenezwa hapa hapa duniani.

Tena umetoa mfano mzuri sana wa baba yako mkubwa, mwambie next time aweke heshima ASIAPE HOVYO HOVYO.

Babe Lisa leo nimekupenda kweli kweli, kwa kuongea maneno kama hayo....Mwaaa and happy new year 😛oa

Thanx Fazaa, hiyo ilikuwa fundisho kwenye ukoo wetu kuwa ukiwa na uwezo usitukane ambao hawana, na usikashfu ambao si dini yako, ninavyokwambia walizaliwa sita, watano wote wanawake hakuna aliyeolewa na niwakubwa sana kwetu sisi. iliwafanya baba zetu waliobakia wakawa hawaapi wala hawasemi chochote, pindi anapokuja mchumba home kutoa posa.
 
Nakuomba badili dini au oa muislamu mwenzako
kwani mpango wenu ni kuwazalisha watoto wa kikristo na kuwapa majina ya kiislamu ili muonekane mko wengi,kisha mnatoa taraka na kuoa mwingine kwani imani yenu inaruhusu
uislamu pia unakua kwa njia ya kuwazalisha watu kwa mgongo wa ndoa,
hakuna uhusiano kati ya nuru na giza,

sasa hapo nani nuru na nani giza kati ya uislam na ukristo?
 
Thanx Fazaa, hiyo ilikuwa fundisho kwenye ukoo wetu kuwa ukiwa na uwezo usitukane ambao hawana, na usikashfu ambao si dini yako, ninavyokwambia walizaliwa sita, watano wote wanawake hakuna aliyeolewa na niwakubwa sana kwetu sisi. iliwafanya baba zetu waliobakia wakawa hawaapi wala hawasemi chochote, pindi anapokuja mchumba home kutoa posa.
Safi sana, ahhh lakini inategemea una kashfu dini gani, mana ukikashfu wanao abudu sanam, sidhani kama utapata kipigo-mana sanam halisikii wala kuona.
 
Back
Top Bottom