Kijana Jr
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 560
- 838
Umri wangu miaka 23, Elimu yangu Form IV na Elimu ya Ufundi wa Umeme Level Two. Changamoto yangu mimi ni deaf (Kiziwi) ila nina uwezo wa kuongea na kumfundisha mtu akaelewa vizuri. Nilishawai kufundisha katika Chuo kimoja cha Ufundi somo la Theory Level One, niliacha kutokana na chuo hicho kufungiwa na VETA kwa kutosajiliwa.
Nimepitia machungu mengi sana, nakumbuka nilishawahi kukataliwa shule kwa sababu nitawapa tabu walimu katika ufundishaji sababu I am deaf pia walimu hawafahamu sign language. Pia na mimi sifahamu haya matatizo yalinikuta kipindi na miaka 17.
Wakuu na wanajukwaa wote, nimekaa nyumbani nikiwa nimekosa raha kabisaa. Nimeumia na kuumia sana, sina furaha tena katika maisha yangu ndoto zangu zakuja kuwapigania watu wenye matatizo ya ulemavu zimezima kabisa na Serikali hii ya Mama Ndalichako tena natamani kuchana hata Cheti changu chenye sahihi yakE.
Sina rafiki, sina mpenzi, sina kazi wakuu. Nipo siliasi. nipo njiani kunywa sumu wadau hapa nimejitaidi sana kuandika but ukweli bora kifo kuliko mateso
Nimepitia machungu mengi sana, nakumbuka nilishawahi kukataliwa shule kwa sababu nitawapa tabu walimu katika ufundishaji sababu I am deaf pia walimu hawafahamu sign language. Pia na mimi sifahamu haya matatizo yalinikuta kipindi na miaka 17.
Wakuu na wanajukwaa wote, nimekaa nyumbani nikiwa nimekosa raha kabisaa. Nimeumia na kuumia sana, sina furaha tena katika maisha yangu ndoto zangu zakuja kuwapigania watu wenye matatizo ya ulemavu zimezima kabisa na Serikali hii ya Mama Ndalichako tena natamani kuchana hata Cheti changu chenye sahihi yakE.
Sina rafiki, sina mpenzi, sina kazi wakuu. Nipo siliasi. nipo njiani kunywa sumu wadau hapa nimejitaidi sana kuandika but ukweli bora kifo kuliko mateso