Habari?
Nahitaji msaada mwenzenu hali sasa ni tete, maisha yanaenda kombo natamani niwe safarini kila siku. Tatizo ni kwamba I am one minute man. Iko hivi, mwenzenu goli moja hunichukua nwastani wa dakika moja hadi mbili kutoka bila mwenyewe kupenda na baada ya hapo kitu kinalala doro,hata ufanyaje hakiamki mpaka kesho. Shemeji yenu wmanzoni alikaa kimya, nadhani ni kwasababu nilikuwa nawahi bao la kwanza lakini baada ya mapumziko ya nusu saa hadi saa mojanaweza kuendelea. Saivi hali imekuw mbaya, shemeji yenu amekuwa akilia na kuniambia anateseka na anahisi kuna kitu anapugukiwa na kuniambia isingekuwa kunipenda na mafundisho ya dini angetafuta mtu!!!!!!!!!!
Njia za awali kutatua tatizo. Kwanza nilijaribu kutafuta kazi za nje ili kupima uwezo nako niliaibika, nikatembelea website mbalimbali hasa hapa jamvini na kukuta tiba kama vitunguu swaumu nikala na kuishia kunuka mdomo tu. Natumia asali kwa wingi lakini bado. Nampenda sana wangu na mwanangu lakini naona sasa nitakimbiwa mda si mrefu. Naombeni mtu anayefahamu tiba ya tatizo hili anisaidie kwani natamani kujiua sasa. Naombeni msaada tafadhali.
UPDATES
Kutokana na michango yenu mbalimbali nashukuru sana kwani kuna maendeleo kidogo katika tatizo langu hapo juu. Yafuatayo ni mabo niliyofanya mpaka sasa naweza naweza kuhold japo kwa dakika 10. Kwa kweli najihisi kupona. Nimefanya yafuatayo.
1. Mazoezi mepesi ya viungo kila siku pamoja na kutembea kwa miguu weekend kwa saa 1
2. Nimeacha nyama choma, supu na vyakula vyenye ,futa na sukari kwa wingi
3. Nakunywa maji kwa wingi
4. Nimeongea na wife na ameahidi kunipa ushirikiano katika hili
5. Natumia ule mchanganyiko wa mzizi mkavu wa asali, tangawizi na pilipili manga
6. Nakula matunda kwa wingi
Nitazidi kuwajuza maana najua wengi tuna tatizo hili tupate ufumbuzi.
Viva JF, alaaniwe mwenye mawazo ya kuifungia.
Nahitaji msaada mwenzenu hali sasa ni tete, maisha yanaenda kombo natamani niwe safarini kila siku. Tatizo ni kwamba I am one minute man. Iko hivi, mwenzenu goli moja hunichukua nwastani wa dakika moja hadi mbili kutoka bila mwenyewe kupenda na baada ya hapo kitu kinalala doro,hata ufanyaje hakiamki mpaka kesho. Shemeji yenu wmanzoni alikaa kimya, nadhani ni kwasababu nilikuwa nawahi bao la kwanza lakini baada ya mapumziko ya nusu saa hadi saa mojanaweza kuendelea. Saivi hali imekuw mbaya, shemeji yenu amekuwa akilia na kuniambia anateseka na anahisi kuna kitu anapugukiwa na kuniambia isingekuwa kunipenda na mafundisho ya dini angetafuta mtu!!!!!!!!!!
Njia za awali kutatua tatizo. Kwanza nilijaribu kutafuta kazi za nje ili kupima uwezo nako niliaibika, nikatembelea website mbalimbali hasa hapa jamvini na kukuta tiba kama vitunguu swaumu nikala na kuishia kunuka mdomo tu. Natumia asali kwa wingi lakini bado. Nampenda sana wangu na mwanangu lakini naona sasa nitakimbiwa mda si mrefu. Naombeni mtu anayefahamu tiba ya tatizo hili anisaidie kwani natamani kujiua sasa. Naombeni msaada tafadhali.
UPDATES
Kutokana na michango yenu mbalimbali nashukuru sana kwani kuna maendeleo kidogo katika tatizo langu hapo juu. Yafuatayo ni mabo niliyofanya mpaka sasa naweza naweza kuhold japo kwa dakika 10. Kwa kweli najihisi kupona. Nimefanya yafuatayo.
1. Mazoezi mepesi ya viungo kila siku pamoja na kutembea kwa miguu weekend kwa saa 1
2. Nimeacha nyama choma, supu na vyakula vyenye ,futa na sukari kwa wingi
3. Nakunywa maji kwa wingi
4. Nimeongea na wife na ameahidi kunipa ushirikiano katika hili
5. Natumia ule mchanganyiko wa mzizi mkavu wa asali, tangawizi na pilipili manga
6. Nakula matunda kwa wingi
Nitazidi kuwajuza maana najua wengi tuna tatizo hili tupate ufumbuzi.
Viva JF, alaaniwe mwenye mawazo ya kuifungia.