friends kweli hili darasa limetufaa wengi bcoz hata mim nilikua na tatizo la kupga punyeto to but now im thanks God nimeliacha pia kuna mabadiliko ambayo yamejitokeza so thanks every one
That is normal,absolutely normal. Your sex life should be only 1/16,000 of your existence. That is the norm. You can vary it a bit. Lakini you must not spend your whole life doing love making. Again the number is 1/16,000-i second out of every 16,000 seconds you live. Do the arithmetic.
ukitaka sasa goli moja ufikishe mpk nusu saa hadi lisaa..,fanya zoez moja dogo sana linaitwa keggel exercise..,linafanywaje?: ukiwa unaenda kukojoa iwe asubuhi , mchana au jion..jitaid uwe unafanya kamchezo kama ka kuzuia mkojo uctoke, baada ya hapo chini ya pumbu kuna mshipa ushike huku ukiwa kama unataka kutoa mkojo alafu kama unauzuia .alafu utaona kama ule mshipa unacheza cheza ..fanya ivyo mara tatu au zaidi kwa siku then utaniambia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.