Loading failed
JF-Expert Member
- Sep 14, 2023
- 1,945
- 5,849
Habari ndugu zangu,
Kwa masikitiko makuu, mimi ndugu yenu mwenye uwepo wa wanawake wengi na mpigishwa punyeto na mpiga punyeto kwa muda wa miaka mingi sana sasa nimeteketea naombeni msaada wa haraka.
Nimeamua kutulia na mwanamke mmoja sasa na binti kanipenda sana wakuu na anapenda sana show ila ndiyo hivyo nimeshaangamia na sijui ni mweleze nini.
Ndugu yenu na rafiki yenu awali nilikua mwenye nguvu sana nikilala na wanawake kawaida na kuwapelekea moto hasa,
yapata sasa majuzi kuona kabisa uume umelegea baada yakutokukaza kisawa sawa na kuwa na stamina ya kumuhimili mpenzi wangu wakati wa mnyanduano, ndugu yenu hali ile ilinipelekea kushikwa na msongo wa mawazo wa ghafla na uume kusinyaa zaidi wakuu.
Mtoto wa watu alinilaumu sana na sijui kanichukuliaje japo kipindi cha nyuma nilikua na mpeleka sawa tuu ndugu zangu na anaridhika vizuri tuu.
Nakiri kwenu punyeto imelegeza uume wangu, hisia zangu juu ya mwili wa mwanamke akiwa na nguo na akiwa hana nguo vimefifia, uwezo wa kutambua harufu nzuri ya kike na kupata msisimko wa kimapenzi nao umepotea, hata nikipapaswa au kukumbatiana na mwanamke wangu kwa muda mrefu huku tukipiga romance uume wangu unachelewa sana kusimama yani naumia kwa kweli.
Ndugu yenu hizi siku mbili tatu pia ni kilala na nikishtuka usiku nakuta uume hata hauja sisimama nao umelala tuu na niwabaridi wakuu.
Nimepatwa na hofu wakuu , mrembo niliye naye ananipeleka mbio mbio na anataka nirudie naye mechi tena kwa kweli nimeshikwa na mfadhaiko sana naona kabisa hii mechi naenda kuharibu tena na sijui safari hii nitamwambia nini mpenzi wangu anielewe
Najuta sana kupiga punyeto, punyeto imeniharibu sana kisaikolojia na imenifedhehesha sana mbele ya mwanamke ninaye mpenda kwa dhati, sijui ni mwambie nini huyu binti, japo mwanamke anaonekana tuu kuridhika na mimi wakuu ila ninafeli sana kumpelekea moto kama awali.
Naombeni msaada wa haraka ndugu zangu, uume wangu umelegea na uwezo wa kusisimka kimapenzi umepotea , nikilazimisha sana kwa sasa ninaenda round moja na nina chukua robo saa (15dk) tuu kukojoa ila kurudia round ya pili nashindwa kabisa.
Nimechoka kumdanganya mwanamke ninayempenda kuwa nina umwa naona na mtesa mtoto wa watu kwani na yeye ananipenda kwa dhati na anateseka sana na kuumia sana moyoni mwake kuona nashindwa kumridhisha kutokana na tatizo langu la kulegea uume.
Imefikia mahali kanishauri ni tumie mchai chai na chai ya tangawizi ila naona siwezi kurecover haraka na yeye anataka ni mpelekee moto ndugu zangu.
Kwa kweli mwanaume mwezenu nipo matatani sana , mwanamke ananipeleka mbio na ni haki yake kufanya hivyo na ni mridhishe na sijui ni fanyaje wakuu. Naombeni mnisaidie mawazo ndugu zangu
Kaniambia anataka show na hapa nawaza sana na nimepoteza kujiamini kitandani mbele zake , japo anajitahidi kunitia moyo nijaribu tena na nijiamini ila kwa kweli nimeangamia na nimeshikwa na hofu moyoni naona kabisa naenda kuaibika tena
Niokoeni wataalamu wangu, ni saidieni ndugu zangu nimehangamia kweli ,
Asanteni
Kwa masikitiko makuu, mimi ndugu yenu mwenye uwepo wa wanawake wengi na mpigishwa punyeto na mpiga punyeto kwa muda wa miaka mingi sana sasa nimeteketea naombeni msaada wa haraka.
Nimeamua kutulia na mwanamke mmoja sasa na binti kanipenda sana wakuu na anapenda sana show ila ndiyo hivyo nimeshaangamia na sijui ni mweleze nini.
Ndugu yenu na rafiki yenu awali nilikua mwenye nguvu sana nikilala na wanawake kawaida na kuwapelekea moto hasa,
yapata sasa majuzi kuona kabisa uume umelegea baada yakutokukaza kisawa sawa na kuwa na stamina ya kumuhimili mpenzi wangu wakati wa mnyanduano, ndugu yenu hali ile ilinipelekea kushikwa na msongo wa mawazo wa ghafla na uume kusinyaa zaidi wakuu.
Mtoto wa watu alinilaumu sana na sijui kanichukuliaje japo kipindi cha nyuma nilikua na mpeleka sawa tuu ndugu zangu na anaridhika vizuri tuu.
Nakiri kwenu punyeto imelegeza uume wangu, hisia zangu juu ya mwili wa mwanamke akiwa na nguo na akiwa hana nguo vimefifia, uwezo wa kutambua harufu nzuri ya kike na kupata msisimko wa kimapenzi nao umepotea, hata nikipapaswa au kukumbatiana na mwanamke wangu kwa muda mrefu huku tukipiga romance uume wangu unachelewa sana kusimama yani naumia kwa kweli.
Ndugu yenu hizi siku mbili tatu pia ni kilala na nikishtuka usiku nakuta uume hata hauja sisimama nao umelala tuu na niwabaridi wakuu.
Nimepatwa na hofu wakuu , mrembo niliye naye ananipeleka mbio mbio na anataka nirudie naye mechi tena kwa kweli nimeshikwa na mfadhaiko sana naona kabisa hii mechi naenda kuharibu tena na sijui safari hii nitamwambia nini mpenzi wangu anielewe
Najuta sana kupiga punyeto, punyeto imeniharibu sana kisaikolojia na imenifedhehesha sana mbele ya mwanamke ninaye mpenda kwa dhati, sijui ni mwambie nini huyu binti, japo mwanamke anaonekana tuu kuridhika na mimi wakuu ila ninafeli sana kumpelekea moto kama awali.
Naombeni msaada wa haraka ndugu zangu, uume wangu umelegea na uwezo wa kusisimka kimapenzi umepotea , nikilazimisha sana kwa sasa ninaenda round moja na nina chukua robo saa (15dk) tuu kukojoa ila kurudia round ya pili nashindwa kabisa.
Nimechoka kumdanganya mwanamke ninayempenda kuwa nina umwa naona na mtesa mtoto wa watu kwani na yeye ananipenda kwa dhati na anateseka sana na kuumia sana moyoni mwake kuona nashindwa kumridhisha kutokana na tatizo langu la kulegea uume.
Imefikia mahali kanishauri ni tumie mchai chai na chai ya tangawizi ila naona siwezi kurecover haraka na yeye anataka ni mpelekee moto ndugu zangu.
Kwa kweli mwanaume mwezenu nipo matatani sana , mwanamke ananipeleka mbio na ni haki yake kufanya hivyo na ni mridhishe na sijui ni fanyaje wakuu. Naombeni mnisaidie mawazo ndugu zangu
Kaniambia anataka show na hapa nawaza sana na nimepoteza kujiamini kitandani mbele zake , japo anajitahidi kunitia moyo nijaribu tena na nijiamini ila kwa kweli nimeangamia na nimeshikwa na hofu moyoni naona kabisa naenda kuaibika tena
Niokoeni wataalamu wangu, ni saidieni ndugu zangu nimehangamia kweli ,
Asanteni