Hahahahaaaa, mabvu zangu mimi!Anyway umefanya vizuri kutupa chambo, mie nakumbuka ilinitokea kama yako nikamtoa na 50 akasepa!Kesho yake napewa mkanda kuwa ni mjamzito!Duh nikagundua kosa langu ni kuweka condom mezani maana niltak kupewa mtoto!Sasa hivi anabembeleza na sina mpango!