Nimejua kwanini sipati bwana hapa mjini

Nimejua kwanini sipati bwana hapa mjini

Wakati mnaanza kutongozwa mlivyokuwa wabichi si mlikuwa mnawasonya na kuwabinulia midomo hao watongozaji...
Mtakula jeuri yenu, na kuendelea kukatikia kona za meza mkijipigisha nyeto...
 
Dah kweli yani dada angu huu muda wetu na sisi madogo Janja tule vizuri siyo kila siku mnawapa hao mababu akati hata Kupiga deki hawawezi. Af na madada wote humu ndani wangekuwa kama wewe ingekuwa fresh sana
 
Huyu mwanamke post zake zinaonyesha yuko very stressed,

tatizo niko huku mpanda,
ningekuwa daslamu ningekusaidia maana unahangaika mno
Ni huyuhuyu aliyekuwa anadai maisha bila mwanaume yanasonga tu,na akawa anawashawishi wanawake wenzie wasiwe na mpango wa kuolewa.
 
mwanamke km ww ni pasua kichwa, bora nidaiwe benk kuliko kuwa na ww

Sent From Ikulu-Magogoni street
 
Haya mambo ya kusema nataka mwanamme mtu mzima aliechoka na maisha tutulie tuleane tule uzee kumbe hapa mjini hamna bwana utasubiri sana.

Watu wazima kwanza nguvu hawana, stress za magu, mara nyumba imebomolewa, mikopo, ndugu wanamtegemea etc, yaani wenyewe maisha yamewashinda wanatamani hata wajiuze sasa wewe unapomuambia tena akuongeze kwenye list ni majanga tu unaishia kuliwa kwa mkopo.

Sasa hapa mjini wanawake wameamua kuliko kuliwa kwa mkopo wanajichukulia viserengeti vyao wanawalea na maisha yanaenda, ila mungu anawaona aisee ila wafanyeje? Kuna dogo hapa jirani handsome kweli ngoja amalize form four keshokutwa niachane na ukapera mimi.

Siku njema wadau nawatakia na uzee mwema pia
Njoo inbox maana naona unapatwa na stress pasipo sababu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi handsome jamani,alafu kiserengeti flani hivi amaizing,tukutane pm.

Akili za usiku
 
Back
Top Bottom