Nimejua kwanini sipati bwana hapa mjini

Nimejua kwanini sipati bwana hapa mjini

Kwani kuna dini,au sheria za nchi zinazopangia watu umri elekezi wa wenza ama kukataza kudate na mtu aliyekuzidi ama ulomzidi umri?.Acheni watu wajiachie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vigezo hivi vitatuponza wadada. Ni mara chache sana tena sana kumpata mtu wa ndoto yako...

Nina rafiki yangu kwanzia tupo chuo Mpaka leo miaka mi3 badae yeye bado kashikilia vigezo vyake vile vile..... Vigezo vingine vya ajabu tu lkn kangangana navyo......Mf mavazi....eti alie mpata ana vaa nguo kubwa kubwa tu [emoji3]....namwambia amdilishe...hataki...sasa kwa style hiii ndoa itatokea wapi?.....hata hao watu wazima nao labda wagane
 
KWELI MUDA UNAONGEA,UYU ANAWEZA AKAWA ANALETA JOKES ILA NDIVYO INAVYO KUWA KWA WANAWAKE KUNA UMRI UNA FIKA WANATESEKA NA HILI ILA CHANZO NI ZARAU,KIPINDI WAKO HOT MARINGO MENGI WANAZANI AWAZEEKI SASA NGOJA MDA UFIKE NDO MANENO KAMA HAYA YANA KUJA KICHWANI
ILA USITUHARIBIE KA KIJANA KETU
 
Back
Top Bottom